- Thread starter
- #21
Sikia brother genius maana umesema mimi stupid. Shika maneno yangu anae kusaida au atakae kusaidia hakuumizi kichwa umesikia hii si mara ya kwanza napost kuhusu kazi, na kama ungekua mwajiri probably ungekua wa kwanza kutaka descriptions sawa binafsi nakushauri tafuta ela una makasiriko binafsi usiniamishie roho mbaya asubui asubuiWadada wengine hadi wanatia aibu na kinyaa
Yaani anaomba kazi kana kwamba hana shida vile
Hata mtu ukiwa na mchongo unashindwa uanzie wapi kumsaidia.
Unaomba kazi, husemi Elimu yako umesomea nini, husemi unapatikana wapi, wala hutoi taarifa zako zozote zinazoweza angalau kumvuta mtu hata awiwe kukusaidia,,
Stupid.....
IDIOT.
Tatizo dada yangu umesoma. Ungekuwa haujasoma ningekuajiri kwenye ofisi yangu ya mayai ya kuku. Yaani unapeleka mayai kwenye ofisi ambazo tayari nina order nazo, unawapelekea kuanzia saa 12 alfajiri mpaka saa 7. Lakini usafiri unaotumia ni daladala, na huku kwetu hazina shida kusema utapasua mayai la hasha! Gharama za usafiri ni juu yangu
