Natafuta kazi za ndani

Natafuta kazi za ndani

Wapi waliokuja private na bd wakawa hawana adabu.....Mtu km anakuj Kwa lengo la kukukosea adabu hata huko private anaweza tuu
 
Pch nilyotoa inatosha
Pole sana dada kwa kejeli unazopata, watu wachache waliocoment kwa dharau na utani sio waungwana hawajui kumuheshimu mtu usiyemjua,umetumia lugha ya busara, hukustahili baadhi ya majibu wanayokujibu, anyway JF kuna watu wema pia naamini watakusaidia. Ushauri usiangaike kumjibu mtu anayeandika bila kutumia hekima. Jibu zuri kwa mpumbavu ni kukaa kimya. Ubarikiwe.
 
Wapi waliokuja private na bd wakawa hawana adabu.....Mtu km anakuj Kwa lengo la kukukosea adabu hata huko private anaweza tuu
Anayekufuata bila adabu PM, copy ujumbe wake na jina lake weka huku kwenye huu uzi ili tujue watu wasio na hekima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom