kenzi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 425
- 461
KEJinsia yake iwe "KE"or "ME"
KEJinsia yake iwe "KE"or "ME"
...hovyo;kwahiyo akili yako inakutuma upo salama sana!?Msiingie kwenye mtego kwa kupiga simu. Hao wamekuwa wakitumwa na baba Mkubwa. Ili awajue wachochezi. Mi nilijaribu kungia kwenye mtego bt walishindwa kwakuwa nilitumia namva nyingine. Na isiwe smart phone. Tafuta namba mpya na simu ya tochi.
mbishi hivi nani atakupa kaziTafadhali....Cpend mabshano....Kw hyo wanawake wote wanaofany kaz hawajaolewa??
Kumbe una unachokitaka tofauti na hii kazi??? Spy on workNaelewa watu
Naelewa watu tunatofautiana....hata nlipoweka namba nlikua najua nn kitafuata...Nitakabliana nao had nipate nachoktaka
Kwa kiwango gani cha mshaharaDada mzima kama mzima ni furaha kwangu mimi nashida na msichana wa kazi za ndani Lakini awe ni wakuja na kuondoka maana na sababu za kufanya hivyo tatizo cijajua uko dar maeneo gani ila mimi niko tabata KIMANGA kama upo OK njoo tupatane kabisa.
Hongera bestDuh cjaja huku muda Sana....Nawashukur wapendwa kw ushrkiano wenu....Ukimpata mtu wa kaz na mkaeshmiana kikaz n neema ya mung tuu....Sasa ninaendlea vzur na kaz...Mung n mwema mno kwangu
Dar[/QUOTE]DarOTE="G.25, post: 19294858, member: 149801"]Uko mkoa gani dada?