Natafuta kazi za ndani

Natafuta kazi za ndani

Huo n muonekano Wang....Lkn Nina 25....Wengne wananinyima kaz kw 7b NNA sura ya ktt ktk pcha....Sasa nfany nn....Nimlaum mung Kwa kunipa sura hii au
 
Hayo n mahukumu yako....Cwez kukulaumu....Ahsant lkn
 
Nenda facebook au instagram mtafute mtu anaye itwa joyce kiria super woman au wanawake live anagawa ajira za ndani yupo vizuri kweli
 
  • Thanks
Reactions: Olv
Jus a little warming!!! Be very carefully!!!!! Kwa hali ilivyo kwa sasa mtumishi unayeajiri nyumbani kwako au hata katika ofisi ni vema uwe na background yake au hata kuw ana mtu anayemfahamu ili amdhamini!!! Kulizwa ni kwingi kuliko huduma!!!
 
Siku hizi wasichana wa kazi wanachangamoto sana,kuna rafiki yangu alipata msichana wa kazi,ndani ya siku 10 akamsingizia baba mwenye nyumba kua kumbaka mara mbili usiku akawa anataka fidia ya 5M,kesi ikaenda dawati la jinsia,maswali aliyoulizwa wakati anabakwa alijaribu kupiga kelele kuomba msaada?,jingine ilikuaje mlango wa chumba anacholala hakufunga na ufunguo wakati ufunguo upo?,maswali yote hayo yalikosa majibu,kufuatilia huko alikotoka ana kesi tatu za kubakwa ili alipwe helallll,hizi ndio changamoto wa wasichana wa kazi ambaye huijui background yake
 
Kuolewa na kutoolewa ni factor kubwa sana, emagine Upo kazini unafua mume wako anapiga simu anataka mechi huoni hapo lazima uende Mara moja mkapige shoo kama unaheshimu hisia za mwenzio? Hapo kazi haijawa affected
Ni mechi tu umewaza hamna kingine cha maana labda
 
Naomba picha yako uonekane mwili wote,kazi ipo ya kusimamia bidhaa zilizopo nje ya duka la jumla
 
Dada ulieanzisha hii thread nakupa pole kwa kua umekuja sehem ambayo sio sahihi na zaidi ya 80% wanaosoma hii post hawana msaada zaid wanataka kulala na wewe tu ama kukuchezea kwaio ushaur wang kua makini na pia sehem kama hizi sio salaama sana kutoa namba zako na zaidi picha zako zinaweza kutumika vibaya. Kwaio nakushaur tafuta namna nyingine ya kupata unachohitaji bila kero hizi manaa naamin ushapata kero za kutosha...watu wanawaza ngono tu dada hapa
 
mbere post: 19301231 said:
Nikikupa kazi utaanikabidhi hiyo simu uliyoandika nayo hapa na foni hizo za masikioni, kwa maandishi uchukue kitochi hadi siku ya kuondoka ndo nikurudishie?
Ww fkir Kabla ya kuandka....Unafkir mm n mtt nicye na ufaham??
 
PATO8 post: 19301065 said:
Dada ulieanzisha hii thread nakupa pole kwa kua umekuja sehem ambayo sio sahihi na zaidi ya 80% wanaosoma hii post hawana msaada zaid wanataka kulala na wewe tu ama kukuchezea kwaio ushaur wang kua makini na pia sehem kama hizi sio salaama sana kutoa namba zako na zaidi picha zako zinaweza kutumika vibaya. Kwaio nakushaur tafuta namna nyingine ya kupata unachohitaji bila kero hizi manaa naamin ushapata kero za kutosha...watu wanawaza ngono tu dada hapa
Nayajua hayo ndug...Ahsant Kwa onyo....Wamejtokeza wakwl na wanaotaka stareh.... Nmewezakukabliana nao....Ninanitambua..ahsant
 
[QUOzi, post: 19300891, member: 333335"]Mimi nataka wa kufanya siku sita...[/QUOTE]
Hyo ctaweza.... Ahsant
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom