Isma le ibuh
Member
- Oct 4, 2017
- 36
- 12
Naitwa Hussein Suleman ni kijana mwenye umri wa miaka 23, nina taaluma ya upishi najua kupika vyakula kama Wali, pilau, biriani, mandi, ugali, makange, chips, makande, ndizi rost pia za nazi
Pia nina ujuzi wa kuandaaa michuzi pamoja na roast za aina yeyote ile ya mboga kana vile roast samaki, kuku, ngombe, mbuzi
Pia nina ujuzi wa kutengeneza bites aina tofauti tofauti kama chapati, maandazi, vitumbua, sambusa, eegychop, kababu, pizza, burger, cat
Hivyo, mimi ni mpishi wa kila aina ya chakula nina uwezo wa kuandaa vyakula vyote hivyo na vingine sijaviainisha natafuta kazi ya upishi katika kampuni mgahawa au mtu binafsi
Namba 0692014483. 0767959073 napatikana Tabata Misewe
Wako katika utiifu
Pia nina ujuzi wa kuandaaa michuzi pamoja na roast za aina yeyote ile ya mboga kana vile roast samaki, kuku, ngombe, mbuzi
Pia nina ujuzi wa kutengeneza bites aina tofauti tofauti kama chapati, maandazi, vitumbua, sambusa, eegychop, kababu, pizza, burger, cat
Hivyo, mimi ni mpishi wa kila aina ya chakula nina uwezo wa kuandaa vyakula vyote hivyo na vingine sijaviainisha natafuta kazi ya upishi katika kampuni mgahawa au mtu binafsi
Namba 0692014483. 0767959073 napatikana Tabata Misewe
Wako katika utiifu