Jimmy patrick
New Member
- Jun 12, 2021
- 3
- 2
Habari waungwana.
Naitwa James patrick naishi Dar es salaam, nina miaka 26, natafuta kazi ya udereva
Nina uzoefu wa kuendesha ndani na nje ya jiji la Dar, pia nina uzoefu wa kuendesha gari za uber kwa miaka mitatu hvyo basi ninalifahamu vyema jiji la Dar.
Sichagui mkoa na wala sichagui ni aina gani ya kazi ya udereva.
Naendesha magari yote isipokuwa maroli na mabasi ya mikoani!
Uzoefu wangu ni miaka 9 ya udereva! kwa yeyote mwenye kuhitaji dereva makini na mwenye kujitambua tuwasiliane kwa namba 0769130951.
Naitwa James patrick naishi Dar es salaam, nina miaka 26, natafuta kazi ya udereva
Nina uzoefu wa kuendesha ndani na nje ya jiji la Dar, pia nina uzoefu wa kuendesha gari za uber kwa miaka mitatu hvyo basi ninalifahamu vyema jiji la Dar.
Sichagui mkoa na wala sichagui ni aina gani ya kazi ya udereva.
Naendesha magari yote isipokuwa maroli na mabasi ya mikoani!
Uzoefu wangu ni miaka 9 ya udereva! kwa yeyote mwenye kuhitaji dereva makini na mwenye kujitambua tuwasiliane kwa namba 0769130951.