Apa unamaanisha watupige Ganji sisi mabosi sindioJamaa akiwa determined ndani ya muda mfupi sana anaweza kufungua goli lake asee.
Yani hulipi kodi na hununui msosi na daily unapata 13000? Hapo acha vi deal vya hapa na pale sio siku zote atatoka na 13,000 tu kuna day anaweza piga hata vi buku mbili tatu vya hapa na pale.
Imphuvyi ukifanya hii kazi kwa malengo ndani miezi kadhaa utakuwa na uwezo wa kuanza yako.
pole sana mkuu, aisee kuna watu wanachezea shilingi kwenye shimo la choo kwa 390k kula juu ya boss na kulala pia mbona fresh tu aisee dah ningepata hiyo ingekuwa njema sana haya maisha yalivyo magumu hivi kuna watu wanachezeaMkuu huyu kijana hana ustaarabu kabisa
Mpishi aliekuwepo alikuwa analipwa 250k tu. Yeye anakula 390k
Kula hapa hapa
Kulala wanalala washkaji wanne
Yeye anataka awe treated like yuko serena hotel jaman wakat ndio kwanza kaanza maisha
Nili cancel job requests 6 nikamchagua yeye bila kujali yuko mbali kiasi gani
Sasa hivi ndio ananitupia lawama kubwa sana jaman
Sio mstaharabu hakikaKazingua sana yaani dili kalitolea humu halafu lawama anakuja kuzitolea hapahapa.
Nashukuru Mungu nimetafuta tena mtu mwingine na nimempatapole sana mkuu, aisee kuna watu wanachezea shilingi kwenye shimo la choo kwa 390k kula juu ya boss na kulala pia mbona fresh tu aisee dah ningepata hiyo ingekuwa njema sana haya maisha yalivyo magumu hivi kuna watu wanachezea