barbieloree
Member
- Jan 2, 2024
- 26
- 52
Msaada wanajamii forum, naweza pata kazi gani kambi ya wakimbizi mfano Nyarugusu au Kihondo, uko kama sina elimu ya juu kama certificate, diploma na madegree nina elimu ya form four tu
Hata nikipata ya upishi sawa au usafi maofisini au kazi gani nyingine naweza pata
La mwisho mwenye connection anisaidie naomba kama kuna kazi naweza pata kwa elimu yangu.
Ahsanteni
Hata nikipata ya upishi sawa au usafi maofisini au kazi gani nyingine naweza pata
La mwisho mwenye connection anisaidie naomba kama kuna kazi naweza pata kwa elimu yangu.
Ahsanteni