Natafuta kazi ya udereva

Natafuta kazi ya udereva

Hafidhibrahim

Senior Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
142
Reaction score
32
Habar ndg, za mapumziko!, Napenda chukua fursa
hii kuwaomba ndg jamaa rafik pia, mimi ni dereva
nmekuja kwenu najua kuwa naweza pata msaada.
Kama kuna mtu anaweza nikabidh gar nikamletea
hesabu suzuk(kirikuu) au townace au noah na
ata km gar ya nyumban kumuendesha tajir au
kaz za kupelekea watt shule np tayar np dar
mawacliano 0713844841 ahsante
 
kwa neema ya Mungu utapata kilichobora mkuu.
 
Habar ndg, za mapumziko!, Napenda chukua fursa
hii kuwaomba ndg jamaa rafik pia, mimi ni dereva
nmekuja kwenu najua kuwa naweza pata msaada.
Kama kuna mtu anaweza nikabidh gar nikamletea
hesabu suzuk(kirikuu) au townace au noah na
ata km gar ya nyumban kumuendesha tajir au
kaz za kupelekea watt shule np tayar np dar
mawacliano 0713844841 ahsante

Ngoja kwanza madereve wenyewe wathibitishe lini watagoma kisha tutakupigia Mkuu uje uanze kazi wala usijali.
 
Habar ndg, za mapumziko!, Napenda chukua fursa
hii kuwaomba ndg jamaa rafik pia, mimi ni dereva
nmekuja kwenu najua kuwa naweza pata msaada.
Kama kuna mtu anaweza nikabidh gar nikamletea
hesabu suzuk(kirikuu) au townace au noah na
ata km gar ya nyumban kumuendesha tajir au
kaz za kupelekea watt shule np tayar np dar
mawacliano 0713844841 ahsante

Leseni yako ni daraja gani MKUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom