Peleka maombi yako kwenye hivyo vituo,Mungu c Hamisi unaweza fanikiwaMi mschana wa miaka 24 niko dar
Sorry wanahusika na niniMt Meru niliskia wanaajiri. Ofisi zao zipo Tabata mwananchi kuna petro station yao.. muone mtu anaitwa Ally.
Mungu akutangulie ufanikiwe
Mt Meru niliskia wanaajiri. Ofisi zao zipo Tabata mwananchi kuna petro station yao.. muone mtu anaitwa Ally.
Mungu akutangulie ufanikiwe
Mt meru wanavituo vingi vya mafuta au? isipo kua vingi wameamshia zambia na Malawiamekwambia SHELL wewe unamwambia MT. Meu huoni kama unampotosha mwombaji? yeye kasema anapenda kufanya kazi au ana uzoefu na vituo vya SHELL. muwe mnaelewa kinachoandikwa siyo mnajibu mambo ambayo hamkuulizwa.
Sasa dada kwani kampuni ya SHELL, bado ipo kweli Tz, hii au ulimanisha ktk kituo cha kuwekea mafuta kwenye magari?? Daaaa, ila huo ni ugonjwa wa taifa, hadi jiwe mwenyewe huwa anasema "masheli yote ambayo hayatatumia mashine za EFD,, nitayafunga"Mi mschana wa miaka 24 niko dar
Kwann kwzi ya SheliMi mschana wa miaka 24 niko dar
Unaniuliza mm? HayaaaaKwan kuna kazi gani ingne
Nilitaka kuuliza hili swali. Labda ndiyo upigaji ulipo.Kwann kwzi ya Sheli
Kiduku Lilo: tulia. Mt. Meru wana visima vya mafuta, almaarufu sheli.amekwambia SHELL wewe unamwambia MT. Meru huoni kama unampotosha mwombaji? yeye kasema anapenda kufanya kazi au ana uzoefu na vituo vya SHELL. muwe mnaelewa kinachoandikwa siyo mnajibu mambo ambayo hamkuulizwa.
au anatafuta wenye magar banaNilitaka kuuliza hili swali. Labda ndiyo upigaji ulipo.
Umekurupuka mkuu. Mt Meru ni wauzaji wa mafuta na wana 'sheli' nyingi sana.amekwambia SHELL wewe unamwambia MT. Meru huoni kama unampotosha mwombaji? yeye kasema anapenda kufanya kazi au ana uzoefu na vituo vya SHELL. muwe mnaelewa kinachoandikwa siyo mnajibu mambo ambayo hamkuulizwa.
Hahaha kiongozi mwenzio anatafuta kaziau anatafuta wenye magar bana
Umekurupuka mkuu. Mt Meru ni wauzaji wa mafuta na wana 'sheli' nyingi sana.
Bravo kwa jamaa, katoa msaada mzuri sana
Kiduku Lilo: tulia. Mt. Meru wana visima vya mafuta, almaarufu sheli.
Kubishana na machoko huwa siwezi.We ni kilaza wa Kiwango cha kimataifa. Halafu huna akili ingawa unaamini unazo ndo tatizo lipo hapo. Hata huelewi na hujui kuwa huelewi.
Nyie sijui mlizaliwaje katika dunia hii...na nashangaa bado mnaendelea kuwepo kuchafua tu hali ya hewa na mazingira. Unasema Mt Meru wana Shell nyingi? We ni lipumbavuh la mwisho. Hujui Shell ni kampuni ya mafuta ambayo kwa sasa haipo. Yaani ulivyo lijinga ni sawa na kusema puma wana total nyingi. Mimi ngekukana kama nakufaham..siwez fahamiana na kilaza kama wewe.
Kama baba, mama, kaka au Mwalimu wako hakukufundisha neno almaarufu, basi ugua pole.Hujui wewe... Ungenyamaza. Shell siku hizi haipo tanzania. Kama Agip ambayo nayo haipo.
Usikute unabishana na Mtoto aliyetoka kunyonya juzi. Kwa akili yako huyu anaweza akawa zaidi ya miaka 16?Kubishana na machoko huwa siwezi.
Sawa heri yako wewe usiye kilaza na mwenye akili nyingi.
Usiku mwema