Natafuta kazi ya sheli

Natafuta kazi ya sheli

Wengi hawaelewi maana ya shell kuwa ni jina la kampuni badala waseme kituo cha mafuta, eti wanasemaga shell, wakati Kuna total, Mt meru, peru, gapco, shell wanayosemea n.k
 
amekwambia SHELL wewe unamwambia MT. Meru huoni kama unampotosha mwombaji? yeye kasema anapenda kufanya kazi au ana uzoefu na vituo vya SHELL. muwe mnaelewa kinachoandikwa siyo mnajibu mambo ambayo hamkuulizwa.
una POINT mkubwa lakini Point yako ulitakiwa uieleze
kiungwana TU jambo dogo hili umetumia jazba kuelezea
mwisho inakua ugomvi.

MTOA MADA ndie mwenye kosa
na kwasababu bongo tunaishi kwa mazoea basi
ndio maana umeona watu wanajibu AGIP mara MT


ILA KIUFUPI huyu mtoa mada anacho maanisha
anataka kazi katika kituo cha uuzaji mafuta .
 
Tatizo kubwa sana la jamiiforums ya sasa ni ninyi form four vilaza. Hamjui hata mambo madogo tu.shell ni kampuni ya kuuza mafuta wewe mtu mzima unasema mt meru wana shell nyingi. Sishangai kwa nini mnachora zombie kwenye mitihani yenu.kizazi hiki hamna akili kabisa.ndo mnakuja kujaza server za humu ndani kipindi hiki mnasubiria div zeros zenu
Sawa ww mwenyedigiri unaejua makubwa ikiwa hujui kesho yako ukiwa utakufa leo .cjui mtoa roho atathamini kidigri chaako mbuzi ww.achazarau
 
Mt Meru niliskia wanaajiri. Ofisi zao zipo Tabata mwananchi kuna petro station yao.. muone mtu anaitwa Ally.

Mungu akutangulie ufanikiwe
YEye kasema Shell.
Au hujui tofauti ya shell, mt meru. Gapco etc?
 
una POINT mkubwa lakini Point yako ulitakiwa uieleze
kiungwana TU jambo dogo hili umetumia jazba kuelezea
mwisho inakua ugomvi.

MTOA MADA ndie mwenye kosa
na kwasababu bongo tunaishi kwa mazoea basi
ndio maana umeona watu wanajibu AGIP mara MT


ILA KIUFUPI huyu mtoa mada anacho maanisha
anataka kazi katika kituo cha uuzaji mafuta .
Acha upotoshaji.

Usijione una akili nyingi sana
 
Wabongo kwa ujuaji,kama hujui ndo unapotezwa zaidi!! Mazoea ndo yanalazimishwa yawe ndo sahihi! Wote mko sahihi mazee mpeni ramani binti anatafuta kazi.
 
Hahaha wabongo mwisho
Mwenzenu anataka kazi sheli ajamaanisha mnavuomaanisha nyie yeye anataka kazi ya KUJAZA MAFUTA MAGARI SHELI SIO ANATAKA KAZI KAMPUNI YA SHELI SIJUI MMEELEWA?
 
amekwambia SHELL wewe unamwambia MT. Meru huoni kama unampotosha mwombaji? yeye kasema anapenda kufanya kazi au ana uzoefu na vituo vya SHELL. muwe mnaelewa kinachoandikwa siyo mnajibu mambo ambayo hamkuulizwa.
Mt.meru wanauza na mafuta pia
 
We dada peleka maombi total wapo pale masaki mwisho, pili peleka kampuni ya Puma wanaajiri wenyewe hapo sheli we uliza anaesimamia sheli uonane nae akupe muongozo usiongee nao wajaza mafuta wanaweza wakakuvunja moyo tatu jarib sheli za camel kwanza utajitolea kisha utaajiriwa ila itachukua mda kiasi
 
🤣🤣🤣🤣🤣 msamehe bure
We ni kilaza wa Kiwango cha kimataifa. Halafu huna akili ingawa unaamini unazo ndo tatizo lipo hapo. Hata huelewi na hujui kuwa huelewi.

Nyie sijui mlizaliwaje katika dunia hii...na nashangaa bado mnaendelea kuwepo kuchafua tu hali ya hewa na mazingira. Unasema Mt Meru wana Shell nyingi? We ni lipumbavuh la mwisho. Hujui Shell ni kampuni ya mafuta ambayo kwa sasa haipo. Yaani ulivyo lijinga ni sawa na kusema puma wana total nyingi. Mimi ngekukana kama nakufaham..siwez fahamiana na kilaza kama wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom