Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,710
- 32,483
Huyu dogo sijui kala maharage gani. Anakurupuka kweli. Hata hasomi akajiongezaKama baba, mama, kaka au Mwalimu wako hakukufundisha neno almaarufu, basi ugua pole.
Acha mhemko, hii sio punyeto, tulia usome nilichoandika.
Hata kama shell haipo, chukua mantiki ya neno. Na kwa sababu unajua zaidi, hebu tuambie aliyenunua shell baada wa wao kuondoka alikua nani? Tunakuruhusu uangalia google.
Achana nae anajiona mjuvi