Natafuta kazi aina yoyote

Toto mol

JF-Expert Member
Oct 18, 2022
2,403
3,562
Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano.

Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara.

Natumaini ntapata kazi, Asante 🙏
 
Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano.

Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara.

Natumaini ntapata kazi, Asante
Hujataja jinsia, ME ama KE.
Samahani kwa hili..
 
Mambo vipi ndugu zangu wa JF mko vema kabisa na mnaendelea na mapambano.

Ombi langu Natafuta kazi yoyote tu mimi ni kijana miaka 27 sina ujuzi wowote, napatikana Mara.

Natumaini ntapata kazi, Asante 🙏
Kweli kichwani umetulia sawasawa ndugu? Haujavurugwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom