Natafuta Kazi, nina BSc in Metallurgy and Mineral Processing Engineering.

Natafuta Kazi, nina BSc in Metallurgy and Mineral Processing Engineering.

Vuitton_7

Member
Joined
Oct 28, 2017
Posts
29
Reaction score
12
‎Habari Member wa Jf
‎Mimi ni Kijana kutokea Mbeya (29) nina Shahada ya Uchakataji na Uchenjuaji Madini
‎(Metallurgy and Mineral Procesing Engineering)

‎Ambapo naweza kufanya kazi kwenye:
‎- Plants za uchenjuaji (kama operator), Viwandani pamoja na kwenye maabara za madini.

‎Pia nina ujuzi katika field nyingine kama:
‎- Computer application pamoja na Graphic designing.

‎- Uzoefu kwenye industry ya mining (Small scale) - mwaka 1.5
 
Hii kozi ilikuwa pale COET Bado ipo?

Kuhusu kazi ,utapata tu ila kama utaamua kuwa punda ,tembeza CV, tuma sana CV kila siku angalau sehemu hata 5 per day

Cha kwanza mtangulize Mungu kwa Iman unapata
 
‎Habari Member wa Jf
‎Mimi ni Kijana kutokea Mbeya (29) nina Shahada ya Uchakataji na Uchenjuaji Madini
‎(Metallurgy and Mineral Procesing Engineering)

‎Ambapo naweza kufanya kazi kwenye:
‎- Migodi (Plant), Viwandani pamoja na kwenye maabara za madini.

‎Pia nina ujuzi katika field nyingine kama:
‎- Computer application pamoja na Graphic designing.

‎- Uzoefu kwenye industry ya mining (Small scale) - mwaka 1.5
Kila la kheri
 
Hii kozi ilikuwa pale COET Bado ipo?

Kuhusu kazi ,utapata tu ila kama utaamua kuwa punda ,tembeza CV, tuma sana CV kila siku angalau sehemu hata 5 per day

Cha kwanza mtangulize Mungu kwa Iman unapata
Yeah, ipo Coet - Udsm na Pia Udom, mi nimepiga Udom pale.
Nashukuru pia kwa ushauri huo..!
 
Yeah, ipo Coet - Udsm na Pia Udom, mi nimepiga Udom pale.
Nashukuru pia kwa ushauri huo..!
Naimani utapata mkuu, Mimi nimepiga mechanical engineering,ila kwasasa huwezi kuaminika kuwa ni electrical engineer kwenye taasisi kubwa tu,

Niliamua kuendana na Hali halisi,
 
Naimani utapata mkuu, Mimi nimepiga mechanical engineering,ila kwasasa huwezi kuaminika kuwa ni electrical engineer kwenye taasisi kubwa tu,

Niliamua kuendana na Hali halisi,
Ulifanyaje hadi ikashift ndugu ni private au gvnt?
 
Ulifanyaje hadi ikashift ndugu ni private au gvnt?
Hapana kaka ni government ila ya mkataba wa kila mwaka ,walihitaji electrical au mechanical ila afanye majukumu hasa ya umeme , nilishindana na WA umeme nikawashinda

Kwenye kazi sasa majukumu mengi ni ya umeme ,nashukuru Mungu nilikuwa na basic kidogo sana ya umeme ,hivo nilibidi nisome zaidi hasa YouTube,ndani ya miezi mitatu nikamasta vingi, now nashika project kubwa na zinaenda vzr sana ,

Hata WAKUBWA wanajua ni electrical engineer but Mimi ni mechanical engineer
 
Weka Makaratasi mfukoni, kajipendekeze migodini kwenye maplant, usifanye wajua hadi uulizwe.
Usipoulizwa kaa kimya
 
Hapana kaka ni government ila ya mkataba wa kila mwaka ,walihitaji electrical au mechanical ila afanye majukumu hasa ya umeme , nilishindana na WA umeme nikawashinda

Kwenye kazi sasa majukumu mengi ni ya umeme ,nashukuru Mungu nilikuwa na basic kidogo sana ya umeme ,hivo nilibidi nisome zaidi hasa YouTube,ndani ya miezi mitatu nikamasta vingi, now nashika project kubwa na zinaenda vzr sana ,

Hata WAKUBWA wanajua ni electrical engineer but Mimi ni mechanical engineer
Hongera sana kaka kwa uthubutu.
 
Hongera sana kaka kwa uthubutu.
Shukran kaka ,naimani jamaa atapata najua Hali anayopitia ,ahakikishe kila siku anamtanguliza Mungu wake ,pia atume maombi kila siku ,atapata tu pia afanye msako wa kutembea kwenye makampuni

Hawezi kukosa kazi za supervisor, workshop manager ,n.k

Binafsi nilifikia Hadi kuwa manager wa kampuni ya madini ,kampuni binafsi
 
Shukran kaka ,naimani jamaa atapata najua Hali anayopitia ,ahakikishe kila siku anamtanguliza Mungu wake ,pia atume maombi kila siku ,atapata tu pia afanye msako wa kutembea kwenye makampuni

Hawezi kukosa kazi za supervisor, workshop manager ,n.k

Binafsi nilifikia Hadi kuwa manager wa kampuni ya madini ,kampuni binafsi
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom