Natafuta kazi, nimesomea Air Ticketing

J.T

Member
Sep 3, 2012
11
6
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32
Naishi Dar es salaam
Nimemaliza form six
Nimesomea Air Ticketing
Nina experince ya zaidi ya miaka 5 kwe flight reservation
Nina experince ya miaka 2 kama receptionist kwenye 4 star hotel.

Kwasababu ya Corona kampuni niliyokuwa naifanyia kazi biashara imeyumba, nina mtoto mdogo na ndugu wanaonitegemea nahitaji kazi yoyote ya kuniingizia kipato.

Nashukuru sana.
 
Sawa
Hapa Hapa Utapata Connection Pia Dodoma Serikali Ilikohamia
 
Dah hongera sana dada.
Mungu alikuwa pamoja na wewe na jihesabu ni mtu mwenye bahati sana kwenye hii dunia.
Wewe umefanikiwa kwa urahisi kuna wengine huwa wanajieleza kutafuta kazi matangazo yao yanazagaa mwezi mzima wanaishia kukejeliwa tu.
Tuombe uzima. Tupia CV yake hapa tuione, tukipata wahitaji tumuunganishe.
 
Tuna group telegram la vijana kama 1000 wanatafuta kazi,so sijajua tutawasaidiaje?
Ni vizuri Kama vijana mfikie muafaka wa kubadilisha kufikiri ili muendane na Hali halisi iliyopo. Covid-19, imeweka wazi kwamba Kuna ajira nyingine zinawezekana zisiwepo watu wakafanya kazi kutoa majumbani mwao Kama ninavyofanya Mimi Sasa hivi.

Kama una group la watu mia, jaribu kuwaweka kwenye vikundi kutokana na fani zao, washauri waandike mradi wanaoweza kuufanya kigrupu then tujaribu kuwatafutia watu wanaoweza kuwapa mitaji wakafanya biashara au kazi inayoweza kuwaingizia kipato.

Ndugu zangu kazi za kuajiriwa zimeota mbawa. Tukioko maofisini tuko nusu kwa nusu...hatma haijulikani, tunaandaa mazingira ya kujiajiri.
 
Ina maana Corona bado haijaisha nchini kwetu.
Anyway umeongea jambo la msingi sana hata sisi kwa group tuliongea kuanzisha projects hizo za vikundi lakini kabla hatukwenda mbali kwenye hiyo discussion tukajiuliza if tukipata hizo projects proposals mbalimbali ni nani atatuwezesha kupata capital ili kurun hizo projects?tukakosa majibu tukaishia hapo.
Labda ukitusaidia kupata msaada wako mkuu wa mwongozo on how and where to get the capital?
Utakuwa umetufikisha mbali sana.
Ni vizuri Kama vijana mfikie muafaka wa kubadilisha kufikiri ili muendane na Hali halisi iliyopo. Covid-19, imeweka wazi kwamba Kuna ajira nyingine zinawezekana zisiwepo watu wakafanya kazi kutoa majumbani mwao Kama ninavyofanya Mimi Sasa hivi.

Kama una group la watu mia, jaribu kuwaweka kwenye vikundi kutokana na fani zao, washauri waandike mradi wanaoweza kuufanya kigrupu then tujaribu kuwatafutia watu wanaoweza kuwapa mitaji wakafanya biashara au kazi inayoweza kuwaingizia kipato.

Ndugu zangu kazi za kuajiriwa zimeota mbawa. Tukioko maofisini tuko nusu kwa nusu...hatma haijulikani, tunaandaa mazingira ya kujiajiri.
 
Ina maana Corona bado haijaisha nchini kwetu.
Anyway umeongea jambo la msingi sana hata sisi kwa group tuliongea kuanzisha projects hizo za vikundi lakini kabla hatukwenda mbali kwenye hiyo discussion tukajiuliza if tukipata hizo projects proposals mbalimbali ni nani atatuwezesha kupata capital ili kurun hizo projects?tukakosa majibu tukaishia hapo.
Labda ukitusaidia kupata msaada wako mkuu wa mwongozo on how and where to get the capital?
Utakuwa umetufikisha mbali sana.

Corona iliisha siku nyingi, Ila makampuni mengine yana utaratibu wake ndio Mana bado tuko majumbani.

Kikubwa ninachoona hapo ni watu kuwa responsible, Mimi Nina Tabia moja ya kuchonoa Mambo. Baadabyankuongeq hivyo nilijuanutwnipa feedback ya benki ngapi unezitembelea na wazo lako na majibu uliyopewa. He ni mradi wenye ukubwa gani ambao mpaka sasa mmeujadili na kuufanyia assessment wapi muuzungushe mpate hela.

Ninaamini sio wote tuna uwezo wa kufungua biashara, naamini kwamba unaweza jiattach kwenye biashara ya mtu mkakubalia kila utakapopeleka mteja/wateja atakupa kiasi gani?

Vijana mnahitaji mtaji wa ubunifu sio hela. Connection zinatafutwa, ukihitaji msaada wangu zaidi kwa ushauri na maelekezo, napatikana kwenye namba hiyo hapo. Nicheki kwa text message.



Uje na mikakati Jenga, Nini unataka nikusaidie, ki
 
sawa asante mkuu.
nitakutafuta
Corona iliisha siku nyingi, Ila makampuni mengine yana utaratibu wake ndio Mana bado tuko majumbani.

Kikubwa ninachoona hapo ni watu kuwa responsible, Mimi Nina Tabia moja ya kuchonoa Mambo. Baadabyankuongeq hivyo nilijuanutwnipa feedback ya benki ngapi unezitembelea na wazo lako na majibu uliyopewa. He ni mradi wenye ukubwa gani ambao mpaka sasa mmeujadili na kuufanyia assessment wapi muuzungushe mpate hela.

Ninaamini sio wote tuna uwezo wa kufungua biashara, naamini kwamba unaweza jiattach kwenye biashara ya mtu mkakubalia kila utakapopeleka mteja/wateja atakupa kiasi gani?

Vijana mnahitaji mtaji wa ubunifu sio hela. Connection zinatafutwa, ukihitaji msaada wangu zaidi kwa ushauri na maelekezo, napatikana kwenye namba hiyo hapo. Nicheki kwa text message.



Uje na mikakati Jenga, Nini unataka nikusaidie, ki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom