Natafuta kazi dar

Natafuta kazi dar

Weeeh mbona hata mi nimeshangaa imekuaje...
Usitake iwe mada humu skip.it 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Nmecheka 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Nmecheka 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁Aaaagh..
Unafanya sasa nikose cofidense
 
Mtoa uzi na mtoa majibu yanayohusu uzi tofauti , ndio kusahau laini kutoa laini ya mchepuo ukaitumia kumpigia baba watoto ama
 
Mtu aliomba umsaidie kufungua account Kisha akapost nawe ukaendelea ku post kama yeye kwanza uka comment ngoja waje halafu ukajibu uliqcha kutokana na changamoto za kuumwa


Oyaaa hakuna mbugila hapa kifupi umeyatimba tunasema umevaba bora ungeuchuna kuliko kujitetea kijinga
Kuna mtu aliniomba nimsaidie kucreate account 🤣🤣🤣
 
Mtu aliomba umsaidie kufungua account Kisha akapost nawe ukaendelea ku post kama yeye kwanza uka comment ngoja waje halafu ukajibu uliqcha kutokana na changamoto za kuumwa


Oyaaa hakuna mbugila hapa kifupi umeyatimba tunasema umevaba bora ungeuchuna kuliko kujitetea kijinga
Walivyomshtukia angekuwa mjanja angezuga kuwa ile comment ya kuumwa ni kwamba alikuwa ana mjoke mleta uzi kisha akatulia.

Ila siku ikifika badala ya kukanyaga breki unajikuta unakanyaga moto.
 
Wapuuzi kama hawa ndio wanafanya wenye shida kweli wasiaminike pumbav zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom