Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,235 Reaction score 13,539 Jul 18, 2013 #341 Lady doctor said: SHKAMOO mume wangu!! Click to expand... Wewe mtundu sana mke wangu. Umesahau unaniitaga bebii?
Lady doctor said: SHKAMOO mume wangu!! Click to expand... Wewe mtundu sana mke wangu. Umesahau unaniitaga bebii?
Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,235 Reaction score 13,539 Jul 18, 2013 #342 Dark City said: Marahaba mjukuu mwenye Nidhamu na utii, Nakuandalia nishani ya utumishi uliotukuka, cc: Mungi, PakaJimmy Babu DC!! Click to expand... Tuko pamoja babu DC. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Dark City said: Marahaba mjukuu mwenye Nidhamu na utii, Nakuandalia nishani ya utumishi uliotukuka, cc: Mungi, PakaJimmy Babu DC!! Click to expand... Tuko pamoja babu DC.
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Jul 18, 2013 #343 Arushaone said: Wewe mtundu sana mke wangu. Umesahau unaniitaga bebii? Click to expand... mume wangu hiyo shkamoo ni zuga tu, kwaajili ya Bishanga maana akinisikia nakuita bebii hadharani hakawii kuleta unoko wa kuvunja ndoa yetu. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Arushaone said: Wewe mtundu sana mke wangu. Umesahau unaniitaga bebii? Click to expand... mume wangu hiyo shkamoo ni zuga tu, kwaajili ya Bishanga maana akinisikia nakuita bebii hadharani hakawii kuleta unoko wa kuvunja ndoa yetu.
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Jul 18, 2013 #344 Fixed Point said: huyo bana kama hajafichwa na Kipipi basi yupo na Arabela sijui? inawezekana yupo na Chocs sina uhakika si unajua alivyo na nyumba nyingi mdogo wangu huyu? Click to expand... Nipo nae mimi!!
Fixed Point said: huyo bana kama hajafichwa na Kipipi basi yupo na Arabela sijui? inawezekana yupo na Chocs sina uhakika si unajua alivyo na nyumba nyingi mdogo wangu huyu? Click to expand... Nipo nae mimi!!
CharmingLady JF-Expert Member Joined Apr 16, 2012 Posts 18,304 Reaction score 12,997 Jul 18, 2013 #345 Fixed Point said: ha haa, wewe sina shaka ni mdogo wangu..... si umeona nimekuweka kwenye group la wadogo zangu bila hata kufikiria? Click to expand... Tanteeee.... shikamoo dada mkubwa!
Fixed Point said: ha haa, wewe sina shaka ni mdogo wangu..... si umeona nimekuweka kwenye group la wadogo zangu bila hata kufikiria? Click to expand... Tanteeee.... shikamoo dada mkubwa!
Fixed Point JF-Expert Member Joined Sep 30, 2009 Posts 11,304 Reaction score 12,753 Jul 18, 2013 Thread starter #346 Asprin said: Nikome nakwambia nikome!! late sixties mi nlikuwa mwalimu Minaki Sekondari. Ukiendelea kunifananisha na hawa vijana wa TANU ntakucharaza bakora!! Click to expand... hapa siingilii, labda nimwite mke wa ujana wako cacico aje akutulize Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Asprin said: Nikome nakwambia nikome!! late sixties mi nlikuwa mwalimu Minaki Sekondari. Ukiendelea kunifananisha na hawa vijana wa TANU ntakucharaza bakora!! Click to expand... hapa siingilii, labda nimwite mke wa ujana wako cacico aje akutulize
Fixed Point JF-Expert Member Joined Sep 30, 2009 Posts 11,304 Reaction score 12,753 Jul 18, 2013 Thread starter #347 Chocs said: Nipo nae mimi!! Click to expand... nakuaminia....... shikilia mdogo wangu, lol!
Fixed Point JF-Expert Member Joined Sep 30, 2009 Posts 11,304 Reaction score 12,753 Jul 18, 2013 Thread starter #348 charminglady said: Tanteeee.... shikamoo dada mkubwa! Click to expand... Marahabaaaaa, hujambo mdogo wangu?
charminglady said: Tanteeee.... shikamoo dada mkubwa! Click to expand... Marahabaaaaa, hujambo mdogo wangu?
Z zainab Seleman New Member Joined Jul 17, 2013 Posts 3 Reaction score 1 Jul 18, 2013 #349 Mie Dada Ako Mpya
Fixed Point JF-Expert Member Joined Sep 30, 2009 Posts 11,304 Reaction score 12,753 Jul 18, 2013 Thread starter #350 zainab Seleman said: Mie Dada Ako Mpya Click to expand... karibu dada Zainab... umeona vigezo na masharti? siyo kujipachika tu udada.... unaweza ingia kundi la wadogo zangu
zainab Seleman said: Mie Dada Ako Mpya Click to expand... karibu dada Zainab... umeona vigezo na masharti? siyo kujipachika tu udada.... unaweza ingia kundi la wadogo zangu
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Jul 19, 2013 #351 Fixed Point said: nakuaminia....... shikilia mdogo wangu, lol! Click to expand... Siku hizi wamekuwa wachache nisipong'ang'ania ntaumbuka mie
Fixed Point said: nakuaminia....... shikilia mdogo wangu, lol! Click to expand... Siku hizi wamekuwa wachache nisipong'ang'ania ntaumbuka mie
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,302 Reaction score 9,096 Jul 19, 2013 #352 ablessed said: marahaba mdogo wangu na wote uliowaalika waamkie natanguliza marahaba. Asante sana kwani umekua mpole ghafla hii inapendeza sana. Click to expand... shkamoo dada
ablessed said: marahaba mdogo wangu na wote uliowaalika waamkie natanguliza marahaba. Asante sana kwani umekua mpole ghafla hii inapendeza sana. Click to expand... shkamoo dada
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,302 Reaction score 9,096 Jul 19, 2013 #353 lady doctor said: daah.... Kweli ngoja tu niwape heshima zenu..!!!!!! Shkamoo dada fixed point shkamoo dada mwanajamiione shkamoo dada ablessed cc: queen kan na evelyn salt hebu njooni muwasalimie wakubwa zetu lol!! Click to expand... meshawaamkia menzio!! Uwe mwangalifu humu best, mwenzio nilikutana na babu yangu! Lol! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
lady doctor said: daah.... Kweli ngoja tu niwape heshima zenu..!!!!!! Shkamoo dada fixed point shkamoo dada mwanajamiione shkamoo dada ablessed cc: queen kan na evelyn salt hebu njooni muwasalimie wakubwa zetu lol!! Click to expand... meshawaamkia menzio!! Uwe mwangalifu humu best, mwenzio nilikutana na babu yangu! Lol!
Ablessed JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 4,616 Reaction score 3,502 Jul 19, 2013 #354 Queen Kan said: shkamoo dada Click to expand... Marahaba mdogo wangu
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Jul 19, 2013 #355 Queen Kan said: meshawaamkia menzio!! Uwe mwangalifu humu best, mwenzio nilikutana na babu yangu! Lol! Click to expand... hahahaaa mimi kuna baba zangu wadogo humu nnawachoraje???
Queen Kan said: meshawaamkia menzio!! Uwe mwangalifu humu best, mwenzio nilikutana na babu yangu! Lol! Click to expand... hahahaaa mimi kuna baba zangu wadogo humu nnawachoraje???
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,302 Reaction score 9,096 Jul 19, 2013 #356 lady doctor said: hahahaaa mimi kuna baba zangu wadogo humu nnawachoraje??? Click to expand... umeona ee!! Hapa mwendo wa kuwapiga chabo!! Msalmie mumeo
lady doctor said: hahahaaa mimi kuna baba zangu wadogo humu nnawachoraje??? Click to expand... umeona ee!! Hapa mwendo wa kuwapiga chabo!! Msalmie mumeo
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Jul 19, 2013 #357 Queen Kan said: umeona ee!! Hapa mwendo wa kuwapiga chabo!! Msalmie mumeo Click to expand... zimefika my dia, nawe msalimie best yangu wa ukwee Himidini mwambie apitie huku angalau atupungie mkono tu! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Queen Kan said: umeona ee!! Hapa mwendo wa kuwapiga chabo!! Msalmie mumeo Click to expand... zimefika my dia, nawe msalimie best yangu wa ukwee Himidini mwambie apitie huku angalau atupungie mkono tu!
Z Zion Daughter JF-Expert Member Joined Jul 9, 2009 Posts 8,920 Reaction score 4,242 Aug 4, 2013 #358 Fixed Point said: ha haa, sidanganyiki mdogo wangu, vigezo na masharti kuzingatiwa.... birth certificate please...... Click to expand... Na mimi nadai shikamoo yangu kid sis
Fixed Point said: ha haa, sidanganyiki mdogo wangu, vigezo na masharti kuzingatiwa.... birth certificate please...... Click to expand... Na mimi nadai shikamoo yangu kid sis
Lucas JF-Expert Member Joined Dec 3, 2011 Posts 2,457 Reaction score 1,110 Aug 4, 2013 #359 mtani Fixed Point.... na mie naweza kuwa kaka yako? ila labda ubadili kabila kwanza Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Fixed Point JF-Expert Member Joined Sep 30, 2009 Posts 11,304 Reaction score 12,753 Aug 6, 2013 Thread starter #360 Lucas said: mtani Fixed Point.... na mie naweza kuwa kaka yako? ila labda ubadili kabila kwanza Click to expand... karibu sana mtani
Lucas said: mtani Fixed Point.... na mie naweza kuwa kaka yako? ila labda ubadili kabila kwanza Click to expand... karibu sana mtani