Natafuta kaka/dada

Mkoloni kanibanaajeee...ila i will be available soon.

But i do remember u always...especially in my prayers.

Mdogo wangu Arabela dada yetu anakuita mpigie simu ana la kukawambia. Umesikia eeh mdogo wangu.

sis KOKUTONA tumepata dada now. Ntampigia anipe busara zake... Sis Fixed Point nakupenda sana
 
Last edited by a moderator:
ha haa, hujambo mdogo wangu?
bora usitake ushahidi, maana ni majanga
 
Fixed Point shikamo
igweeeeeeeeeee
nimechelewa kufungua lisredi kama hujapata mdogo niambie nimwage wasifu wangu
marahabaaaaa mdogo wangu....
sikuwa natafuta mdogo.....
wadogo zangu mpo kibao humu na mnajulikana, wala huhitaji kumwaga wasifu mdogo wangu hii ni automatic
 
aiseee mi ngonja ni kuweke hapa.............
 
asante mdogo wangu.... I need it....
maana huko tunakoelekea sioni uelekeo wa kupata dada/kaka humu... wote madogo, lol!

binamu shaka ondoa....ukitaka kudeka hapa kuwa huru tu.... unaweza kupata hao makaka aua wadada lakini ukakuta magalasa.... binamu
 
Nikome nakwambia nikome!! late sixties mi nlikuwa mwalimu Minaki Sekondari. Ukiendelea kunifananisha na hawa vijana wa TANU ntakucharaza bakora!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…