Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
-
- #221
ha haaa, pesa zinasema, lol!Hahaha dada Fixed Point, hilo ni kweli kabisa, nikiendaga kwa wakina wife Preta, mi nalamba shikamoo tu hata kwa vibibi, mara ya kwanza ilikuwa karaha kwangu, but siku hizi nshazoea, at dada nijulishe nini kinaendelea kati ya Nicas Mtei na snowhite ?
Hahaahahaha mkuu huna jinsi mpe tu haki yake Fixed Point sidhani kama unapigwa changa la machoAblessed we acha tu!
Aksante TANMO bora hata wewe.
rafiki yaani nina allergy ya kuitoa, napokea tuKumbe unajijua eeh!!! Kwamba shikamoo kwako ni majanga!!! Pole yako 🙂🙂
watoto wa siku hizi wabishi sana kuamkia, usipoipigania inakula kwakoUnaona umeanza kupokea misalamu kweli wakati mwingine lazima uipiganie haki yako maana haki zingine haziji kwa miujiza ni mpaka utoke ,ubishe na utafute. Hongera sana naona kimeeleweka isipokua Lady doctor bado ana mashaka hebu mtoe wasiwasi naona nae karibu anataka kuiachia .
mwambie huyo... asilete longolongoMpe shikamoo yake mkuu naona ulitoka nadhani ulikua unatafakari namna ya kuianza. Nadhani sasa ndio wakati muafaka mpe haki yake mkuu.
ha haaa, pesa zinasema, lol!
hao bana ni mtu na shem wake..... kwani wewe hukulijua hilo kaka?
kaka wewe ni mgeni hapa Yerusalemu?Fafanua dada nani kaoa/kaolewa na nani? Kama ni mgegedo, hapana hawastahili kuitana shemeji, wanachafua hali ya hewa kwa mashemeji wa kweli kama mimi na saudari
Ni kweli mkuu tena wakishakua na umbo kukuzidi ee bwana ee hudhani mnalingana. Nakumbuka mtoto flani nilimtoa nduki mtaani kwetu alikua mgeni na mtaa ule sasa bwana umbo langu haliendani na umri wangu si akadhani mimi ni dot com na mdogo wangu alikua na umbo kubwa akadhani yule ndio mama mwenye nyumba. Ilibidi nimualike nyumbani kwangu siku ya weekend nikiwa na familia yangu yote na kumtambulisha kwa wanangu kua huyu nae ni kaka yenu tokea siku hiyo ana adabu sana.watoto wa siku hizi wabishi sana kuamkia, usipoipigania inakula kwako
Naona anaipotezea mkuu huyu. Pengine nae ana aleji ya salamu hii si atumie tu neno hili "heshima yako mkuu" maana wengi hutumia hii kama wakiona hawapendi kusema shikaoo.mwambie huyo... asilete longolongo
dada anaulizwa vyeti tangu lini?Kama kweeeli kweeeli Fixed Point una miamka juu ya hiyo ya MwanajamiiOne basi SHKAMOO DADA yangu kipenzi nikupendae saaana. Ila as u said vigezo na masharti kuzingatiwaa. CHETI TAFADHALI
My dia Fixed Point you can be my sis kama alivyo KOKUTONA
rafiki yaani nina allergy ya kuitoa, napokea tu
huo mbona nilishajiunga zamani mdogo wangu!Nakupendaje mdogo wangu. Fixed Point karibu kwenye udada huu jamani.