Shukrani0625547181
Nipe namba zake na mm,, mi natumia infinix hot 3 simu tamu balaaPoa,nimeona umenitext
Asante,tafuta sasa infinix zero 5 pro apo umemaliza kabisaNatumia infinix hot 4 ase. Karibuni.
Iko njema eee?Asante,tafuta sasa infinix zero 5 pro apo umemaliza kabisa
Aisee huu mzigo ni habari nyingine,naisaka mpaka muda huu sijaipataIko njema eee?
Si kaziweka humu humu angalia uchukue.ila yeye anauza 850,000/= kwa infinix zero 5 pro na 650,000/= kwa infinix zero 5.Bei yake iko juuNipe namba zake na mm,, mi natumia infinix hot 3 simu tamu balaa
Infinix zero 5 ni kwenye 500,000 mpaka 550,000/=Naona mpaka sasa mnaficha bei yke
Ova
Kweli kabisa, tz kwa bei. Tuko juuInfinix zero 5 ni kwenye 500,000 mpaka 550,000/=
Infinix zero 5 pro kwenye 660,000 mpaka 850,000
Inategemea umenunulia wapi
Naomba niulizie mkuu mana napiga hapokei natuma text hajibu na texts za whatsap zinasoma blue ticks kabisa.Hzi mi sina kuna jamaa anazo mbeya sijajua anapush bei gani?