robbinhood
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 538
- 1,532
Habari wapambanaji wenzangu,
Natumai mko salama.
Naomba ushauri na mawazo yenu ya kibiashara. Mimi ni Full Stack Developer mwenye uzoefu wa kufanya/kushiriki project tofauti tofauti ndani na nnje ya nnchi, ikiwemo,
Mfumo wa PQCS(Process Quality Control System)– Kenya (AVA & ISUZU), Pia custom ERP system Kwa taasisi chache hapa nnchini .
kwa sasa natafuta business ideas ambazo naweza kuzigeuza kuwa software (system au service) itakayoweza kuingiza kipato cha kudumu.
Vilevile, niko wazi kwa partnership — kama una idea nzuri, unaweza kuileta tujadili, kisha nita-develop system
Karibuni sana 🙏,
PM ipo wazi pia
Asanteni.
Natumai mko salama.
Naomba ushauri na mawazo yenu ya kibiashara. Mimi ni Full Stack Developer mwenye uzoefu wa kufanya/kushiriki project tofauti tofauti ndani na nnje ya nnchi, ikiwemo,
Mfumo wa PQCS(Process Quality Control System)– Kenya (AVA & ISUZU), Pia custom ERP system Kwa taasisi chache hapa nnchini .
kwa sasa natafuta business ideas ambazo naweza kuzigeuza kuwa software (system au service) itakayoweza kuingiza kipato cha kudumu.
Vilevile, niko wazi kwa partnership — kama una idea nzuri, unaweza kuileta tujadili, kisha nita-develop system
Karibuni sana 🙏,
PM ipo wazi pia
Asanteni.