Wana JF, natafuta hotuba ya Mheshimiwa Magufuli inayohusisha takwimu za ullaji nyama na kunywa maziwa hapa Tanzania. Nakumbuka ilihusisha na idadi ya mifugo Tanzania wakiwemo ng'ombe na kuku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.