Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Yaonyesha we don't care tunaishi kwa yote kheri..😂
Kabisa mkuu, halafu mwanaume mpaka aende hospital kumwona docta kuhusiana na issue za mambo ya uzazi si zoezi dogo.
Yaonyesha we don't care tunaishi kwa yote kheri..😂
Mpk maji yatufike shingoni ndo tunaenda tena hapo tunakuwa wazi hata kuonyesha kengere zetu..Kabisa mkuu, halafu mwanaume mpaka aende hospital kumwona docta kuhusiana na issue za mambo ya uzazi si zoezi dogo.
Et bongo hao ndo wamekuwa urologist.Wapo mkuu, ingawa nadhani kwa nchi zetu siyo professional inayolipa au kutumika sana.
View attachment 1642076
Endekeza kunyonywa nyapu yako, mwana kulitafutaWasalam jf!!
Hospital gani nitapata gynecologist mzuri zaidi?? Na anayepatikana kwa urahisi kidogo (maana wengine mpaka appointment na unaweza kwenda hata mara Tatu usimkute)
Kwa dar/mwanza na dodoma iwe private au government hospital
Shukrani!
Kwa Dodoma nenda DCMC Ntyuka kwa profesa.
Nenda Msasani Penisula, kwa Dr Shafiq Mohamed 0783 208 774Wasalam jf!!
Hospital gani nitapata gynecologist mzuri zaidi?? Na anayepatikana kwa urahisi kidogo (maana wengine mpaka appointment na unaweza kwenda hata mara Tatu usimkute)
Kwa dar/mwanza na dodoma iwe private au government hospital
Shukrani!
Basi tu ni raha iliyojeHahah sasa ili iweje
Ndugu usione raha kuchungulia tuuu kuna tabu zake....kunazingine chafu na zinatoa harufu mbaya unaweza usitaman ata kula nyama siku hiyo.Sijui kwa nini sikusomea udaktari wa wanawake raha sana kuwachungulia hawa viumbe wa kike
Anitwa Pinju...Sio hinjuDodoma see dr Hinju yupo BMH, tho ana clinic town center st Cammillus
Aisee kweli kabisa..Kuna doctor nilimpeleka mama Yangu Hapo Dodoma Ni hospital mpya..inaitwa mWangaza PolyclinicTatizo la hawa jamaa wakishakuwa maarufu hawakupi muda mwingi wa kukusikiliza.
Kuna wakati unaweza kupata ambaye bado hajawa na jina kubwa na ana wateja wachache akakupa attention nzuri sana.
Yeye kasema Gynacologist...kwaiyo hayo ni majibu ya swali braza.Mbona hamnijibu hao ndo wanahusika na nini..?
Ndo wakina Nani hao..?
HayaYeye kasema Gynacologist...kwaiyo hayo ni majibu ya swali braza.