Natafuta Gari ya kununua

mzizi1

JF-Expert Member
Oct 9, 2017
255
692
Msaada tutani, Habari, nahitaji kigari Cha biashara (Uber, tax ) kwa bei elekezi tu ya mtanzania, bei 4M-6M likiwa mwanza itapendeza zaidi.

Kama Kuna mwenye nacho au anaefahamu mahali naweza pata nitashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…