Natafuta kazi ya ualimu na nje ya ualimu, nina shahada ya elimu.

chazy255

JF-Expert Member
Mar 31, 2016
1,363
1,752
Mimi ni kijana, nakuja kwenu wanajamii, natafuta kazi ya ualimu na nje ya ualimu mahali popote.
Nina uzoefu katika kufundisha( nimefundisha tuition muda mrefu), kilimo hasa cha bustani na kusimamia biashara ndogondogo, so hata kubwa naweza kusupervise.
Masomo yangu ni jiographia na uchumi. Napatikana mkoani Mwanza.
Naomba msaada na ushirikiano wenu. Asanteni.
 
Nakushauri endelea kujiajiri ajira za ualimu wengi wao huwalipa mshahara mdogo hadi laki mbili kwa mwezi.
Imagine wewe una shahada yako mtu akulipe 200K.
Pole dogo ndio maisha ila usikate tamaa ipo siku utasahau yote unayopitia na kulamba asali na maziwa.
 
Nakushauri endelea kujiajiri ajira za ualimu wengi wao huwalipa mshahara mdogo hadi laki mbili kwa mwezi.
Imagine wewe una shahada yako mtu akulipe 200K.
Pole dogo ndio maisha ila usikate tamaa ipo siku utasahau yote unayopitia na kulamba asali na maziwa.
Asante niazingatia ushauri wako mkuu.
 
Mimi ni kijana, nakuja kwenu wanajamii, natafuta kazi ya ualimu na nje ya ualimu mahali popote.
Nina uzoefu katika kufundisha( nimefundisha tuition muda mrefu), kilimo hasa cha bustani na kusimamia biashara ndogondogo, so hata kubwa naweza kusupervise.
Masomo yangu ni jiographia na uchumi. Napatikana mkoani Mwanza.
Naomba msaada na ushirikiano wenu. Asanteni.
KIDT-VTC MOSHI Tunahitaji mwlalimu WA ecd, front office na secretary kwa wanafunzi wa ngazi ya VETA TUWASILIANE 0754469894 /0717157640
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom