Natafuta Gari ya kununua (DEAL DONE)

Natafuta Gari ya kununua (DEAL DONE)

Status
Not open for further replies.
Raum old au new model hata spacio anapata, hajasema mpya he meant used
Kweli.

Kuna watu humu kazi yao ni kukatisha wengine tamaa.

Hata ukiwa na mil 5 sio hela ndogo ya kumwambia mtu hapati gari
 
Kweli.

Kuna watu humu kazi yao ni kukatisha wengine tamaa.

Hata ukiwa na mil 5 sio hela ndogo ya kumwambia mtu hapati gari
Utakuta ukienda anapokaa utakuta kapaki li avon au phoenix na geto lake la udongo,ila huku jf anadharau watu wenye m6!!!!!
 
Sikuweza kukatishwa tamaa na maneno ya kijiweni na mwisho wa siku nimepata gari niliyokua naitaka for just 6.3 million ikiwa imetembea km 110,000. Unfortunately sina picha zake for now, ningewarushia muione.
 
Sikuweza kukatishwa tamaa na maneno ya kijiweni na mwisho wa siku nimepata gari niliyokua naitaka for just 6.3 million ikiwa imetembea km 110,000. Unfortunately sina picha zake for now, ningewarushia muione.
Hongera

Ova
 
Hongera mkuu ni gari aina gani umepata na namba zake zinaanza na C au D?
 
Ninayo Cresta namba DDL, IPO tangi bovu mbezi, bei 6.8m.
 
55eb1e4f497d117eeca02478d5be1326.jpg
afd746e2e82ffc02213f1fb1c1d93d69.jpg
b09c20b6838eb965e17bcac883a1bce0.jpg
1e30689331e485f17e67f877f0a0b261.jpg
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom