hapo ni alteza ist na raumWadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
hapo ni alteza ist na raumWadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
Unaweza kuweka picha ya hiyo wish mkuuLete 6m hiyo upate spacio tamu
Kuna rav4 ya 7m
Kuna vitz ya 6.5m
Kuna vitz ya 6m
Kuna wish ya 5m kamili.
Kama umeridhika tuingie pm.
INGIA HAPA:.....Wadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
Wakuu nashukuru Mungu leo nimefanikiwa kupata gari. Nashukuru kwa mawazo yenu
Ukiagiza unapata kwa 10.5mIst ni gari zimekataa kushuka bei toka zimeingia nchini bei imesimama 13 m 12 m haijashuka zaidi ya hapo
Picha mkuuLete 6m hiyo upate spacio tamu
Kuna rav4 ya 7m
Kuna vitz ya 6.5m
Kuna vitz ya 6m
Kuna wish ya 5m kamili.
Kama umeridhika tuingie pm.
Wewe dada kiboko.Lete 6m hiyo upate spacio tamu
Kuna rav4 ya 7m
Kuna vitz ya 6.5m
Kuna vitz ya 6m
Kuna wish ya 5m kamili.
Kama umeridhika tuingie pm.
Picha nitaharibu Uzi maanake hapo imebaki hiyo rav 4 tu halafu mtoa mada haitaji rav 4Picha mkuu
Wadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.