TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,302
- 28,013
Hivi PM hukujui?Fighter....Umeolewa?
Hivi PM hukujui?Fighter....Umeolewa?
Wewe ni huyo dada? PM kuuliza status ya mtu?Hivi PM hukujui?
Baasi! Mkuu naona mori umepanda! EndeleaWewe ni huyo dada? PM kuuliza status ya mtu?
Walaa...huwa namtania sana huyo dada.Baasi! Mkuu naona mori umepanda! Endelea
Wadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
Ninayo Altezza number cWadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
ongeza laki 5 nikupe mark2 110 namba cWadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
namba hiyo hapo 0659920585Wadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
Ongeza kidogo nikupe spacio new modern iko njema popote pale hata kama ni Kampala au DRC inafika pasipo shida 0717285186 nioneWadau natafuta Gari ya kununua iliyo kwenye hali ya kuridhisha iwe Spacio, Altezza, Mark II Grande, Verossa, IST, Raum etc.
Bajeti yangu ni milioni 6, napatikana DSM, Morogoro na Dodoma.
Nawakaribisha PM tuongee biashara.
Inatembea kiasi gani na namba gani.Mimi ningekupa hii premio kwa bei chini ya offer yako . gari bomba sema nina shida ya pesaView attachment 477151
Unauzaje hii...na ni engen gani?Mimi ningekupa hii premio kwa bei chini ya offer yako . gari bomba sema nina shida ya pesaView attachment 477151
Sina dharau lakini hakuna gari ya milioni 6 kwa aina anayoitaka yeye. Hugo ndo ukweliAcha dharau kijana,ndo ninyi hata baiskeli hamna ila humu mnajifanya mnadrive m6 ni pesa ya kubeza kwel??
Raum old au new model hata spacio anapata, hajasema mpya he meant usedSina dharau lakini hakuna gari ya milioni 6 kwa aina anayoitaka yeye. Hugo ndo ukweli
Una uhakika?Sina dharau lakini hakuna gari ya milioni 6 kwa aina anayoitaka yeye. Hugo ndo ukweli