Natafuta Fundi wa alminium

Natafuta Fundi wa alminium

fundibenz

Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
61
Reaction score
67
Habari,kwangu kuna madirisha ya kizamani hivyo nayabadilisha taratibu,kuna fundi alinibadilishia mawili lakini hivi sasa hapatikani...hiyo nahitaji fundi wa kunisaidia nia yangu yasitofautiane rangi maana yeye alitumia alminium nyeupe.
3f2b3aa2987f7d76bf9d40e09455bf71.jpg

925addf516b0fe5195fcfe529b7c4d47.jpg

Anichek pm. Bei alinifanyia 150 elfu kwa moja.
 
Back
Top Bottom