Stanley Mims
Member
- Aug 29, 2020
- 47
- 86
Awali ya yote nipende kutoa shukurani kwa wataalamu mbali mbali wanakchangia mawazo yao humu majukwaani ili nasi wenye changamoto za kutaka kujifunza zaidi, tujifunze.
Naomba kuweka wazi kuwa, lengo langu la kutafuta fundi umeme ni kujifunza shughuli nzima za wiring kwenye nyumba, mimi n muumini wa uzoefu kuliko taaluma za nadharia. Fundi nimtakaye nataka awe na kibarua, ambapo nitakuwa nakula somo kwake kwa namna anavyofanya wiring kisha nitamlipa posho, mwanzo mpaka mwisho wa kufanya zoezi zima.
Al, kadhalika kwa fundi rangi, hapa namaanisha rangi za majumbani, maofisini na hata zile za mageti.
Ahsanteni, na karibuni sana.
Naomba kuweka wazi kuwa, lengo langu la kutafuta fundi umeme ni kujifunza shughuli nzima za wiring kwenye nyumba, mimi n muumini wa uzoefu kuliko taaluma za nadharia. Fundi nimtakaye nataka awe na kibarua, ambapo nitakuwa nakula somo kwake kwa namna anavyofanya wiring kisha nitamlipa posho, mwanzo mpaka mwisho wa kufanya zoezi zima.
Al, kadhalika kwa fundi rangi, hapa namaanisha rangi za majumbani, maofisini na hata zile za mageti.
Ahsanteni, na karibuni sana.