Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 560
- 838
Ndugu yangu, nakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
Habari natumaini wazima.
Wakuu Hali ya maisha ni ngumu mno hali bado tete kila siku bora jana kuliko leo huku janga la #COVID19
kupata mlo mmoja bado ni tabu sana Kupata kibarua/kazi halali bado ni shida sana .
waswahili wanasema bila connection kujuana kupata kazi/kibarua ni ngumu mno utaangaika sana nimeshazunguka nusu ya viwanda dar es salamu lakini kazi sijapata mtaani napo Hali ni ngumu mno hakuna kazi
Nimekuja hapa kwa mara nyingine kuomba kwa yoyote aliye na kazi au aliyesikia kazi mahali popote pale sichagui kazi yoyote nitafanya iwe ya halali tu.
Ninaweza kufanya kazi kama mfanya usafi wa ndani na nje, gateman, na kusimamia miradi, mtunza bustani, kazi za ufundi umeme majumbani ,viwandani na maofisini au Msaidizi wa fundi umeme.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 27
Elimu yangu nina Certificate of Electrical Daraja 3 .
Ndugu zangu wana JamiiForums naombeni yeyote mwenye kibarua hasa katika maeneo ya dar es salaam na mikoa ya kaskazini anipatie ili niweze kufanya kazi ya halali na nipate riziki ya halali hatimaye niweze kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari natumaini wazima.
Wakuu Hali ya maisha ni ngumu mno hali bado tete kila siku bora jana kuliko leo huku janga la #COVID19
kupata mlo mmoja bado ni tabu sana Kupata kibarua/kazi halali bado ni shida sana .
waswahili wanasema bila connection kujuana kupata kazi/kibarua ni ngumu mno utaangaika sana nimeshazunguka nusu ya viwanda dar es salamu lakini kazi sijapata mtaani napo Hali ni ngumu mno hakuna kazi
Nimekuja hapa kwa mara nyingine kuomba kwa yoyote aliye na kazi au aliyesikia kazi mahali popote pale sichagui kazi yoyote nitafanya iwe ya halali tu.
Ninaweza kufanya kazi kama mfanya usafi wa ndani na nje, gateman, na kusimamia miradi, mtunza bustani, kazi za ufundi umeme majumbani ,viwandani na maofisini au Msaidizi wa fundi umeme.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 27
Elimu yangu nina Certificate of Electrical Daraja 3 .
Ndugu zangu wana JamiiForums naombeni yeyote mwenye kibarua hasa katika maeneo ya dar es salaam na mikoa ya kaskazini anipatie ili niweze kufanya kazi ya halali na nipate riziki ya halali hatimaye niweze kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app