Natafuta fundi mzuri wa kuflash android tablet

Natafuta fundi mzuri wa kuflash android tablet

Habari zenu wakuu.

naomba kufahamishwa ni wapi ndani ya jiji la dar es salaam nitapata fundi wa uhakika anaeweza kuflash tablet za android hasa chinese tablets.

Asanteni.
Unazo ngapi maana hayo madude firmware zake uki pakua zinakua zako ata mika 10.Ziko ngapi niangalie kama zitalipa
 
Unazo ngapi maana hayo madude firmware zake uki pakua zinakua zako ata mika 10.Ziko ngapi niangalie kama zitalipa
ninayo moja tu mkuu, nisaidie kama inawezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom