Natafuta dawa za kuongeza Uboho

Natafuta dawa za kuongeza Uboho

uboho kwa mujibu wa janabi,au uboho kwa mujibu wako wewe,,tunaweza kujibu kijanabi kua ni uroto, kumbe wewe upo kiwewe kwa mujibu wa ngono.
 
Hayo ni masuala ya homoni na ukuaji wa seli za mwili. Kama ubobo wako ni mdogo ndio iko hivyo umerithi maumbile, ukilazimisha ubobo uwe mkubwa na mrefu unaweza kupata madhara kulazimisha seli kukua bila kawaida yake. Isije ikawa kama punda na ukakataa kurudi kama kawaida yake utajuja kuongeza
 
Tafuna mizizi ya MiKK, ipo sana ktk majani ya Viwanja vya mpira, kitambo nipo dogo, una wakuta wajomba na karanga zao waki tafuna ile mizizi,waki angalia mpira,km mihogo ladha yake, Kuna playground pale Tanga jirani na Aghakan unaita Disuza sijui kwa sasa hv lkn km wame badili aina ya majani yale
 
Uboho
Kwanini uuongeza kwani mifupa yako inakuishia nguvu au ukitembea inajisaga?
Kula urojo plus ndizi za mtori.
Kunywa sana supu za makongoro.
 
Uboho ama kwa jina la kitaalam, Bone Marrow, ni ute unaopatikana ndani ya mifupa mirefu katika mwili wa binadamu huku kazi yake kubwa ikiwa ni kuzalisha chembechembe za damu ambazo zina kazi mbalimbali mwilini.
 
Back
Top Bottom