Natafuta dawa za kuongeza Uboho

Natafuta dawa za kuongeza Uboho

Wachangiaji hamuoni hata mods hawa futi uzi

Ina maanisha fikirien vzuri
 
Wasioenda shule wataleta mkanganyiko kwa huu uzi hasa hilo neno "uboho"
 
Kuna kipindi niliwahi vunjika mguu(fibura na tibia yote ilivunjika), nilipotoka hospital nikaandikiwa nile vyakula vyenye madini chuma kwa wingi.. Nakumbuka nililetewa kapu la dagaa.. Hivi ni dagaa pekee ndio wana madini chuma?
Hapana vyakula vipo vingi mkuu.
 
Back
Top Bottom