Bongemzito
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 162
- 19
hizo sanaa tu,wanajijuaga hao ndo maana wanapiga kelele ili ujisikie na wewe upo juu....lakini kawaida sana tu jaribu kuwa mbunifu zaidi nenda chumvini ndo dawa pekee.
Ninae mpenzi wangu, nilitumia kama miaka mitatu mpaka kumpata. Kweli ni mzuri sana. Nilivyokula mzigo sikuamini kwani ana mashine kubwa sana.Kweli hata kukojoa ni ngumu kwani hakuna joto lolote ninalopata. Yeye nahisi ana enjoy kwani anapigaga kelele za kutosha. Naomba kama kuna dawa ya kumpatia nifahamishwe ila mimi sijawahi kumwambia hayo mapungufu yake kwani nampenda sana.