Natafuta kazi
Member
- May 10, 2012
- 31
- 1
HABARI ZENU WAKUU.
Jamani wenzangu kutokana na ugumu wa kupatikana kazi na kupigika mtaani nimeamua kuja hapa jamvini. nadhani kila mtu anaelewa jinsi ambavyo vijana wengi wanasota mtaani,nami ni mmoja wao.
sasa jamani natafuta mtu anayewza kunisaidia nipate kazi,nipo tayari kutoa hata mshahara wote wa mwezi wa kwanza au pesa inayolingana na mshahara kutokana na makubaliano tutakayokuwa tumefikia.
nawashukuru sana na najua kuna watakaoniona sina akili lakini ni frustration tu za maisha na kuhangaika kwa muda mrefu bila kupata ajira.
plz just PM me.
asanteni.
Jamani wenzangu kutokana na ugumu wa kupatikana kazi na kupigika mtaani nimeamua kuja hapa jamvini. nadhani kila mtu anaelewa jinsi ambavyo vijana wengi wanasota mtaani,nami ni mmoja wao.
sasa jamani natafuta mtu anayewza kunisaidia nipate kazi,nipo tayari kutoa hata mshahara wote wa mwezi wa kwanza au pesa inayolingana na mshahara kutokana na makubaliano tutakayokuwa tumefikia.
nawashukuru sana na najua kuna watakaoniona sina akili lakini ni frustration tu za maisha na kuhangaika kwa muda mrefu bila kupata ajira.
plz just PM me.
asanteni.