devcon
JF-Expert Member
- Feb 2, 2015
- 359
- 382
ShukranUyole, katavi
ShukranUyole, katavi
Hahahhaa!sawa mkuu si maanishi kama siitaji kuomba iko chuo but nataka niangalie fursa na kwingine coz siunajua now vyuo una apply direct,so lazima uombe sehem tofaut tofaut,Kutafuta chuo cha kilimo ngazi ya degree tofauti na Sua ni sawa na kutafuta meli inayotembea sehemu nyingine mbali na majini!
Lengo langu nikwenda sua nimeuuliza kwa ajiri ya kufanya application sehem tofaut tofaut kutokana na competition itakayo kuwepo mwaka huu mkuu,Kwa level ya degree wewe SUA inakuita kama kweli unapenda kusoma kilimo ingawa UDSM wana course (program) chache za kilimo google College of Agricultural Sciences and Fisheries Technology UDSM. By the way kwa nini unatafuta chuo ambacho ni tofauti na SUA?
Umeeleweka mkuu bahati mbaya vyuo vyenyewe kwa degree ni vichache.Lengo langu nikwenda sua nimeuuliza kwa ajiri ya kufanya application sehem tofaut tofaut kutokana na competition itakayo kuwepo mwaka huu mkuu,
wa degree nenda sua diploma nenda uyole mbeya au morogoro ifakaraUnaweza kunisaidia chuo kinachotoa certificate ya kilimo mkuu
Nasikia vyuo vya kilimo vya serikali MATI's ngazi ya Certificate wameshafunga maombiK
wa degree nenda sua diploma nenda uyole mbeya au morogoro ifakara
Then huwezi ikwepa SUA! Yes, hata udsm wana baadhi ya kozi za kilimo...ila kwa kilimo tz SUA ndio nyumbani!!Degree
Atakua mvivu wa kusoma!Kwa level ya degree wewe SUA inakuita kama kweli unapenda kusoma kilimo ingawa UDSM wana course (program) chache za kilimo google College of Agricultural Sciences and Fisheries Technology UDSM. By the way kwa nini unatafuta chuo ambacho ni tofauti na SUA?
Karibu Egerton university of agriculture and technologyAmani iwe nanyi.
Naomba kuuliza vyuo ama chuo kinachotoa course ya kilimo tofauti na SUA,
KenyaNdo kipo wapi mkuu?