Natafuta chuo cha kilimo tofauti na SUA

Kutafuta chuo cha kilimo ngazi ya degree tofauti na Sua ni sawa na kutafuta meli inayotembea sehemu nyingine mbali na majini!
Hahahhaa!sawa mkuu si maanishi kama siitaji kuomba iko chuo but nataka niangalie fursa na kwingine coz siunajua now vyuo una apply direct,so lazima uombe sehem tofaut tofaut,
 
Kwa level ya degree wewe SUA inakuita kama kweli unapenda kusoma kilimo ingawa UDSM wana course (program) chache za kilimo google College of Agricultural Sciences and Fisheries Technology UDSM. By the way kwa nini unatafuta chuo ambacho ni tofauti na SUA?
Lengo langu nikwenda sua nimeuuliza kwa ajiri ya kufanya application sehem tofaut tofaut kutokana na competition itakayo kuwepo mwaka huu mkuu,
 
Lengo langu nikwenda sua nimeuuliza kwa ajiri ya kufanya application sehem tofaut tofaut kutokana na competition itakayo kuwepo mwaka huu mkuu,
Umeeleweka mkuu bahati mbaya vyuo vyenyewe kwa degree ni vichache.
 
Kwa level ya degree wewe SUA inakuita kama kweli unapenda kusoma kilimo ingawa UDSM wana course (program) chache za kilimo google College of Agricultural Sciences and Fisheries Technology UDSM. By the way kwa nini unatafuta chuo ambacho ni tofauti na SUA?
Atakua mvivu wa kusoma!
 
Back
Top Bottom