mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
Misufini unaenda Town Saa nane unapitaje Manzese?
unakula bapa za mbavu za kutosha!Misufini unaenda Town Saa nane unapitaje Manzese?
unakula bapa za mbavu za kutosha!Umepata sehemu gani Mkuu?Hatimaye nimepata apartment morogoro na kwa sasa npi samaki samaki .. aliye karibu anakaribishwa
hhhha wakat nahamia nilikua anshangaa wanavyosema jah! bas sasa hv nshazoea! jah!
hata mimi nilipambana nacho nisikizoee, lakin nkajikuta ghafla nakigonga! Jah! Kidogo Mwe! Sikuwa na ujanja!Nimepitia na mitaa hiyo, nimeona take away za kumwaga. Black n White pa kistaarabu sana panawafaa wasiopenda kelele.Ukiboreka hapo shuka chini kidogo hapo Mo Town ruka debe mpaka asubuhi..
we misufini hiyo unayozungumzia ni ipi haswaa? Hakuna roba misufini,nasikia kuna kipindi wakati zimeanzishwa hostel za sua kuna wimbi la wizi liliibuka baada ya muda likapotea,misufini ni amani toka kitambo tuuDuh misufini wanapiga roba balaa!
kweli wewe mgeni yaan unaenda mjini tena upitie manzese?Misufini unaenda Town Saa nane unapitaje Manzese?
usichanganye misufini na mafiga ww![]()
hata mimi nilipambana nacho nisikizoee, lakin nkajikuta ghafla nakigonga! Jah! Kidogo Mwe! Sikuwa na ujanja!
Ntakutafuta jioniHeheee kumbe na wewe wa Moro. Mie Kihonda maghorofani.
Jioni ntakutafuta kumbe wewe no jirani yanguHeheee kumbe na wewe wa Moro. Mie Kihonda maghorofani.
Na wewe no member wa Black and white ,ntakua nakujua wasalimie akina Dunno na Msuyahahahha kwa ubora wako mamy!una guts sana za kukaa samaki samaki! mie napaona pakiwindaji eti??au ushamba! binafs ht ningekuwa alone pale pagumu jaman!mie jiwe langu black n whte au moro hotel basi! tena kwa nadra sanaaa!
Na wewe no member wa Black and white ,ntakua nakujua wasalimie akina Dunno na Msuya
Sipo moro nowNtakutafuta jioni
Sipo moro nowNtakutafuta jioni
mkuu mm natafuta naomba namba za dalali..maeneo ni kihonda, kilakala au forest.Mie nimetafutiwa na Dalali Nimelipia last few days, Sh Elf 50, Chumba Kimoja Self. Mitaa ya Modeko. Geti lipo na Maji Yapo. So Kama Upo Tayri Kutafutiwa na Utalipia Costs za Dalali Sema Nimwambie Jamaa akustulie madalali. Mie Bado Nipo Dsm Naplan Kwenda Moro Ijumaa au Jmos Mungu Akijalia.
Ntakutumia Mkuumkuu mm natafuta naomba namba za dalali..maeneo ni kihonda, kilakala au forest.
Hahaa...umenikumbusha chaka bovu kuna ukoo ule wa kina Ndanje (R.I.P) aliukuwa jambazi aliuliwa, bila kuwasahau kina abuu kapalila, simba zeee, Godzila etc..huo mtaa giza likiingia hapafai hata kusogeleasehem nyingi wanazokutajia ziko poa! zingatia iki ninachokwambia! maeneo aya ninayokutajia usikubali kuishi hata kwa panga! Chamwino, manzese, mafisa, msamvu, mji mpya kuna baadhi ya sehem kama jijga, mawenzi kuna sehem wanaiita chaka bovu uko kote nikipokutajia usikae! waambie wakutafutie misufin, kiwanja cha ndege, mafiga , kihonda, forest, bong'ola, liti, modeko, mazimbu uko unaweza ukaishi bila hata usumbufu wowote! kama kuna mtu ana pingamizi juu ya sehem nikizokutajia bas haijui moro! kilakala, kola hill kote uko kuzur
Nyumba bado ipo. Na kama ipo sh ngap?Zipo room 2.Modeco Baracuda. Nyumba INA ukuta na gate.