Mkuu wasikutishe hao moro vyumba vipo vya bei chee vingi tuu150000 single room???? Hapo hapana mkuu
Hukufahamu then unaconclude Uswazi aiseee
Viwanja vyote Morogoro vimekaa kimawindo hadi nashera HotelNipeni bas leo kiwanja kingine nkatembee usiku maana jana nlikua SAMAK SAMAKI pamekaa kimawindo sana cjapapenda
Hahahaaa, we jamaa aende kaumba???Viwanja vyote Morogoro vimekaa kimawindo hadi nashera Hotel
Nenda downtown au Moro club zaman 4 Star, ama nenda Kingtom,viber ,
Ukiona huko pote pako kimitego basi nenda ITIGI AMA KAHUMBA
Viwanja vyote Morogoro vimekaa kimawindo hadi nashera Hotel
Nenda downtown au Moro club zaman 4 Star, ama nenda Kingtom,viber ,
Ukiona huko pote pako kimitego basi nenda ITIGI AMA KAHUMBA
KAHUMBA bado ipo? nimepamissViwanja vyote Morogoro vimekaa kimawindo hadi nashera Hotel
Nenda downtown au Moro club zaman 4 Star, ama nenda Kingtom,viber ,
Ukiona huko pote pako kimitego basi nenda ITIGI AMA KAHUMBA
Haha haha chukua bidhaa hapo ziko OKHatimaye nimepata apartment morogoro na kwa sasa npi samaki samaki .. aliye karibu anakaribishwa
Mweeh
Haha haha pale ndio pako vile. Nilienda na wife akazania anawinda kuna msengerema akamshika kiuno niileta timbwili palifungwa kwa muda.Nipeni bas leo kiwanja kingine nkatembee usiku maana jana nlikua SAMAK SAMAKI pamekaa kimawindo sana cjapapenda
Haha haha pale ndio pako vile. Nilienda na wife akazania anawinda kuna msengerema akamshika kiuno niileta timbwili palifungwa kwa muda.
Siunajua mavazi ya mida ilee siunajua tena?hahhaha au alivaa kimtego??kwakqweli mwanamke yyt wa moro anaejitambua hakubal katu kukaa hapo samak samak sikumbuk mwaka gan nimekaa hapo!pagumu sana kila mtu anakuhis upo sokon! km nakuona mwanaume ulvyoliamsha dudee
Siunajua mavazi ya mida ilee siunajua tena?
Jamaa akazania yuko mawindoni ilikuwa shida kinyama!
Kwa Moro options ni kununua maji ya kunywa au kuchemsha...usipofanya hivyo tutakuzika kwa typhoid.Dah haya mambo cjui ya kununua maji ndio sitak kusikia mm nataka niishi standard life bila mateso
Duh misufini wanapiga roba balaa!Ningekuwepo mjini usingepata shida ungekuja hata kupumzika home huku ukifanya taratibu za kutafuta nyumba,Kwa maelezo yako wewe eneo la misufini linakufaa sana,kwanza karibu sana na mjini,maji sitatizo na usalama ni mkubwa,unaweza kwenda mjini hata saa 8 za usiku tena kwa mguu. Kama nikapata namba ya dalali mmoja nitakutumia,
Kahumba tena.....ile si ndo jehanamu kabisa!Viwanja vyote Morogoro vimekaa kimawindo hadi nashera Hotel
Nenda downtown au Moro club zaman 4 Star, ama nenda Kingtom,viber ,
Ukiona huko pote pako kimitego basi nenda ITIGI AMA KAHUMBA
Pamoja na kukaa sana Moro nilikuwa sijawahi kupasikia, uzuri weekend hii imenikuta Moro imebidi usiku huu nipatembelee...!ukifka moro hotel unanyosha hyohyo barabara km dk 3 hv !patamu
Ukiboreka hapo shuka chini kidogo hapo Mo Town ruka debe mpaka asubuhi..Pamoja na kukaa sana Moro nilikuwa sijawahi kupasikia, uzuri weekend hii imenikuta Moro imebidi usiku huu nipatembelee...!