Moyess
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 952
- 1,197
- Thread starter
- #61
mjini kidogo hakuna gharama ya nauli ila ukikaa haya maeneo jiandae na 800-1200 ya nauli + 1000 ya bodaboda haya maeneo chamwino,kihonda,lukobe,bigwa,mazimbu,makunganya,mkundi,,,,,.... tupo hapa kukupa mwanga na maeneo mazuli ya kukaa ambayo hata kipindi cha mvua utakaa kwa amani
Ni kweli mkuu maana nackia kuna maeneo kuna titia sana wakat wa mvua huwez toka na gari lazma ukwame