Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

hukuhatuanga shida hyo! sijui abood anajua khona kuna shida ya maj??
ahaaa forest yote na viunga vyake mpaka kwa RC ni kama upo uzunguni kias fulani sasa shida ya maji itokee wap..
 
Hatimaye nimepata apartment morogoro na kwa sasa npi samaki samaki .. aliye karibu anakaribishwa
Hii ndiyo tunaita Jamiiforums.com, hongera mkuu kwa kupata makazi.
-----
Mkuu hii update ipandishe juu kwenye post ya kwanza ya uzi huu. Maana yawezekana wakuu wengine wakawa wanaendelea kukutafutia chumba kumbe wewe umeisha pata.
 
Ningekuwepo mjini usingepata shida ungekuja hata kupumzika home huku ukifanya taratibu za kutafuta nyumba,Kwa maelezo yako wewe eneo la misufini linakufaa sana,kwanza karibu sana na mjini,maji sitatizo na usalama ni mkubwa,unaweza kwenda mjini hata saa 8 za usiku tena kwa mguu. Kama nikapata namba ya dalali mmoja nitakutumia,
Misufini unaenda Town Saa nane unapitaje Manzese?
 
Hii ndiyo tunaita Jamiiforums.com, hongera mkuu kwa kupata makazi.
-----
Mkuu hii update ipandishe juu kwenye post ya kwanza ya uzi huu. Maana yawezekana wakuu wengine wakawa wanaendelea kukutafutia chumba kumbe wewe umeisha pata.

Yea dah jamii forum imenisaidia aisee nmepata nyumba kali sana bila kutumia dalali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom