Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

daah mitaa ile enzi za ujana tulikuwa tunapandisha vilima vile mazoezini. Moro imekuwa aisee,,ulikaa mitaa gani mkuu?
Silikuwepo kikazi but nilifikia near by makazi ya RPC
 
mhhh modeko??sikufaham lakin nahis ni uswaz mby
Kweli unakaa moro halafu hujui mazingira ya sehemu maarufu kama modeco yakoje?
unamwambia mwenzio modeco ni uswazi? daah sio poa!
au kwa kuwa unakaa kwa mkuu wa mkoa! jaribu kuzunguka uujue mji wako dada angu using,ang,anie kukaa kwenye miti tu huko milimani japo ni ushuani, ona sasa hadi modeco hujui ilipo na ikoje!
 
Ningekuwepo mjini usingepata shida ungekuja hata kupumzika home huku ukifanya taratibu za kutafuta nyumba,Kwa maelezo yako wewe eneo la misufini linakufaa sana,kwanza karibu sana na mjini,maji sitatizo na usalama ni mkubwa,unaweza kwenda mjini hata saa 8 za usiku tena kwa mguu. Kama nikapata namba ya dalali mmoja nitakutumia,
Dilekeni goloko kwa mkagulu au
 
Kweli unakaa moro halafu hujui mazingira ya sehemu maarufu kama modeco yakoje?
unamwambia mwenzio modeco ni uswazi? daah sio poa!
au kwa kuwa unakaa kwa mkuu wa mkoa! jaribu kuzunguka uujue mji wako dada angu using,ang,anie kukaa kwenye miti tu huko milimani japo ni ushuani, ona sasa hadi modeco hujui ilipo na ikoje!


bahat mby sana me spend kuzurura hata mazmbu nmefka last yr! wala sion ajab!ndo nilivyo! samahan kukukwaza
 
bahat mby sana me spend kuzurura hata mazmbu nmefka last yr! wala sion ajab!ndo nilivyo! samahan kukukwaza
Hiyo mbona ni kawaida,unaendaje sehemu kama hakuna unachofuata,i had a school mate,primary olympio,sec al muntazir, high school makongo, kazaliwa daslam,kakulia daslam,lakini ubungo alikuwa hakujui, Huyo mwingine k'koo ktk ya mji,lakini sinza hakujui
 
Hiyo mbona ni kawaida,unaendaje sehemu kama hakuna unachofuata,i had a school mate,primary olympio,sec al muntazir, high school makongo, kazaliwa daslam,kakulia daslam,lakini ubungo alikuwa hakujui, Huyo mwingine k'koo ktk ya mji,lakini sinza hakujui


basi m pia nipo hvyo sipend ktembembeaa tembea bila sabab
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom