Natafuta Boyfriend seriously

Natafuta Boyfriend seriously

Natafuta Boyfriend, ambaye yuko single now,mrefu kiasi, mweupe, mweusi au maji ya kunde, Mkristo, Catholic, Lutheran au Sabato, awe ana umri wa miaka 28 hadi 45, kutoka mikoa ya kaskazini or mikoa ya kati ya Tanzania, nje ya tanzania or nje ya Afrika, mcheshi,mchangamfu, mchapakazi, mwenye mtazamo chanya kuhusu maisha, elimu ya Chuo, mwenye heshima kwa watu, anayeheshimu Wanawake, asiwe mgomvi, asiwe muongo kupitiliza, nasema kupitiliza cause naamini kuna baadhi ya vitu anaweza kunidanganya kidogo sometimes ili niwe cool, asiwe mnywaji wa pombe kupita kiasi, I mean mlevi, asiwe anavuta sigara, awe serious kwenye uhusiano, asiwe msikiliza maneno ya watu sana, watu wachonganishi wa mahusiano ya watu, cause Mi sina tabia hiyo na siipendi, umri wangu ni miaka 27, natokea Kilimanjaro.

I hope nitampata hapa Jf, Good day!

Just niPM.
mbona hukutaja mahanjamu. vyote anaweza kuwa navyo ila akawa bwabwa tu , mimi zote sifa sina ila nina mahanjamu ya hatari vipi sifai
 
Haya kila la kheri bi mkubwa nakumbuka muda si mrefu nimekukaribisha jamvini kule getini...kumbe ujio wako ni kwa jambo jema!!!
Jembe lambe langu nakuaminia kumbe ulikuwa man gate ukisubiria wanaokuja na mabegi chuo uwaonyeshe msalaani!!
 
sasa dini inahusiana nini na uzinzi wako??? wewe shida yako si kuzini yaani upate boyfriend ili mzini right,, ingekuwa mchumba sawa dini muhimu lakini zinaa aka uzinzi dini hapo kigezo umechemka dada angu
Huwezi jua labda na yeye anahitaji kuomba (kupiga sala kabla ya kufanya tendo la kula papuchi kama wanandoa wengine wanavyofanya humu jamvini.
 
Natafuta Boyfriend, ambaye yuko single now,mrefu kiasi, mweupe, mweusi au maji ya kunde, Mkristo, Catholic, Lutheran au Sabato, awe ana umri wa miaka 28 hadi 45, kutoka mikoa ya kaskazini or mikoa ya kati ya Tanzania, nje ya tanzania or nje ya Afrika, mcheshi,mchangamfu, mchapakazi, mwenye mtazamo chanya kuhusu maisha, elimu ya Chuo, mwenye heshima kwa watu, anayeheshimu Wanawake, asiwe mgomvi, asiwe muongo kupitiliza, nasema kupitiliza cause naamini kuna baadhi ya vitu anaweza kunidanganya kidogo sometimes ili niwe cool, asiwe mnywaji wa pombe kupita kiasi, I mean mlevi, asiwe anavuta sigara, awe serious kwenye uhusiano, asiwe msikiliza maneno ya watu sana, watu wachonganishi wa mahusiano ya watu, cause Mi sina tabia hiyo na siipendi, umri wangu ni miaka 27, natokea Kilimanjaro.

I hope nitampata hapa Jf, Good day!

Just niPM.
mmmhhh wewe ni mwanamke kweli?? mbona maelezo yako yanatia shaka
 
Dada hauna haja ya kwenda mbali kwan kutokana na vgezo ulivyo andika hum nahc utakuwa mke mwema plz nakuhtaji sana , am 27 years and am single nakuhtaj sana uje kunitoa huu upweke nilionao, am university student na nimemaliza 4m 6 umbwe 2012, naomba unitafute 0757347624. Npo serious plz.
 
vip ushapata hitaji lako kama bado nipm kwasasa niko dsm naelekea sudan kusin ndiko makazi yangu kama vip twende zetu
 
Makaz yangu nipo USA bt nimekuja likizo nyumban kutafuta mke,pia nina vigezo vyote km vp let's go!
 
vp umeshapata?

wengine tanafuatilia mrejesho tu humu ,sifa wala hatuna kwakweli.
 
Wakati unamsubiria The right person unaweza ukawa na mimi temporarly
 
Mpira uliokufa huo!wapi ma forward butu!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom