Natafuta Boyfriend seriously

Natafuta Boyfriend seriously

wanaume wapo wengi wanaonitaka na ninaoweza kuwa nao kama nikiwakubali, lakini nataka mwenye sifa hizo, cause nitaweza kudumu naye zaidi, big thing sipendi mlevi too much

Ivi kweli kwa sifa zote uloweka utapata kweli
sijui ukimpata utwambie mana duuuuuu umetisha bi-dada
 
Ingekuwa saafi zaidi ka ungesema na sifa zako mana unachagua sana
 
uboyfriend wa miaka mingapi?aseme anatafuta mume
Na kwa sie watumishi wa mungu huwa kwenye maombi tunasisitiza watu waombe kupata mke au mume maana ukiomba kupata mchumba au boy friend au girl friend watakuja wengi alafu mwisho wa siku wanaweza kuponyoka
 
Jamani, acheni tu nichague, cause nimechoka walevi, matapeli, vicheche,majambazi na waume za watu, sitaki kufuatwa fuatwa na wanaume wa ajabu
 
Natafuta Boyfriend, ambaye yuko single now,mrefu kiasi, mweupe, mweusi au maji ya kunde, Mkristo, Catholic, Lutheran au Sabato, awe ana umri wa miaka 28 hadi 45, kutoka mikoa ya kaskazini or mikoa ya kati ya Tanzania, nje ya tanzania or nje ya Afrika, mcheshi,mchangamfu, mchapakazi, mwenye mtazamo chanya kuhusu maisha, elimu ya Chuo, mwenye heshima kwa watu, anayeheshimu Wanawake, asiwe mgomvi, asiwe muongo kupitiliza, nasema kupitiliza cause naamini kuna baadhi ya vitu anaweza kunidanganya kidogo sometimes ili niwe cool, asiwe mnywaji wa pombe kupita kiasi, I mean mlevi, asiwe anavuta sigara, awe serious kwenye uhusiano, asiwe msikiliza maneno ya watu sana, watu wachonganishi wa mahusiano ya watu, cause Mi sina tabia hiyo na siipendi, umri wangu ni miaka 27, natokea Kilimanjaro.

I hope nitampata hapa Jf, Good day!

Just niPM.View attachment 99773Sihitaji iwe so cleaaar, hao waliokuwa wanaulizia pics, waonyeshe zao pia niwaone
kwa kweli vigezo kwa mda wa kurudi home ni saa 9 ucku nkitoka katika pombe,napita tuuh apaa.
 
sasa dini inahusiana nini na uzinzi wako??? wewe shida yako si kuzini yaani upate boyfriend ili mzini right,, ingekuwa mchumba sawa dini muhimu lakini zinaa aka uzinzi dini hapo kigezo umechemka dada angu
Wewe ndio mzinzi, usifikiri kila mtu ana wazimu wa ngonongono kama wewe, wengine tunaweza kukaa for years bila kusex
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom