Natafuta Boyfriend seriously

Natafuta Boyfriend seriously

sasa dini inahusiana nini na uzinzi wako??? wewe shida yako si kuzini yaani upate boyfriend ili mzini right,, ingekuwa mchumba sawa dini muhimu lakini zinaa aka uzinzi dini hapo kigezo umechemka dada angu

Jamani uboifrendi si ndo huleta ndoa baadae?
 
Unatangaza ngazi ya elimu kwani unataka kumuajiri?....MAPENZI NI UPOFU..
 
Ahaa vp vyet vya chuo natma kwa njia gani, au n scana au fax maan celew
 
Natafuta Boyfriend, ambaye yuko single now,mrefu kiasi, mweupe, mweusi au maji ya kunde, Mkristo, Catholic, Lutheran au Sabato, awe ana umri wa miaka 28 hadi 45, kutoka mikoa ya kaskazini or mikoa ya kati ya Tanzania, nje ya tanzania or nje ya Afrika, mcheshi,mchangamfu, mchapakazi, mwenye mtazamo chanya kuhusu maisha, elimu ya Chuo, mwenye heshima kwa watu, anayeheshimu Wanawake, asiwe mgomvi, asiwe muongo kupitiliza, nasema kupitiliza cause naamini kuna baadhi ya vitu anaweza kunidanganya kidogo sometimes ili niwe cool, asiwe mnywaji wa pombe kupita kiasi, I mean mlevi, asiwe anavuta sigara, awe serious kwenye uhusiano, asiwe msikiliza maneno ya watu sana, watu wachonganishi wa mahusiano ya watu, cause Mi sina tabia hiyo na siipendi, umri wangu ni miaka 27, natokea Kilimanjaro.

I hope nitampata hapa Jf, Good day!

Just niPM.



Mimi napita tu naelekea Msikitini, Hujambo lakini dada Mammy22?
 
Natafuta Boyfriend, ambaye yuko single now,mrefu kiasi, mweupe, mweusi au maji ya kunde, Mkristo, Catholic, Lutheran au Sabato, awe ana umri wa miaka 28 hadi 45, kutoka mikoa ya kaskazini or mikoa ya kati ya Tanzania, nje ya tanzania or nje ya Afrika, mcheshi,mchangamfu, mchapakazi, mwenye mtazamo chanya kuhusu maisha, elimu ya Chuo, mwenye heshima kwa watu, anayeheshimu Wanawake, asiwe mgomvi, asiwe muongo kupitiliza, nasema kupitiliza cause naamini kuna baadhi ya vitu anaweza kunidanganya kidogo sometimes ili niwe cool, asiwe mnywaji wa pombe kupita kiasi, I mean mlevi, asiwe anavuta sigara, awe serious kwenye uhusiano, asiwe msikiliza maneno ya watu sana, watu wachonganishi wa mahusiano ya watu, cause Mi sina tabia hiyo na siipendi, umri wangu ni miaka 27, natokea Kilimanjaro.

I hope nitampata hapa Jf, Good day!

Just niPM.

true love ask for nothing
 
watu8 una lako jambo,si bure.......ukiendelea ntakusemea kwa.........

Hahaha mkuu mie ni mmoja wa mabawabu wa JF....sasa katika pitapita zangu si ndio nimekutana na huyu mgeni niliyemkaribisha muda si mrefu...
Huo ulikuwa ni ushauri tu kwake maana naona kamwaga sifa lukuki za mtu amtakaye halafu kasahau kuziweka na zake...watu hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia kaka mkubwa
 
Natafuta Boyfriend, ambaye yuko single now,mrefu kiasi, mweupe, mweusi au maji ya kunde, Mkristo, Catholic, Lutheran au Sabato, awe ana umri wa miaka 28 hadi 45, kutoka mikoa ya kaskazini or mikoa ya kati ya Tanzania, nje ya tanzania or nje ya Afrika, mcheshi,mchangamfu, mchapakazi, mwenye mtazamo chanya kuhusu maisha, elimu ya Chuo, mwenye heshima kwa watu, anayeheshimu Wanawake, asiwe mgomvi, asiwe muongo kupitiliza, nasema kupitiliza cause naamini kuna baadhi ya vitu anaweza kunidanganya kidogo sometimes ili niwe cool, asiwe mnywaji wa pombe kupita kiasi, I mean mlevi, asiwe anavuta sigara, awe serious kwenye uhusiano, asiwe msikiliza maneno ya watu sana, watu wachonganishi wa mahusiano ya watu, cause Mi sina tabia hiyo na siipendi, umri wangu ni miaka 27, natokea Kilimanjaro.

I hope nitampata hapa Jf, Good day!

Just niPM.[Basi we nouma eti diploma na kuendelea mbna we hujaweka sifa zako? labda ungeweka zako ili tujikoze hapa]
 
Mimi sifa zooote ulizotaja sina, ila NINA URITHI WA BAKORA YA BABUUU tuuuu vp utanifikiria
 
sifa zote ninazo hutojutia kunipata. nitext namba yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom