Natafuta binti mwenye nia ya kuolewa

Kuna binti mmoja, ni mzuri. Umbo, rangi ya kati, ni msikivu, mvumilivu, mwongeaji sana na ana ajira, ila ni muislam. Nilimshawishi mpaka akakubali kubadili dini anifuate. Ila kabla hatujaendelea nikakutana na binti ambaye ilinilazimu nibadilishe maamuzi.
Mpaka sasa huyo muislam yupo free 23yrs, kama vipi naweza kukuconect.
Lkn ulikula kwnz??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom