Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,380
- 2,040
Nimeyapenda makavu yako mkuuNendaa ukajifunze kupika Kababu Na Kachori jukwaa la mapishi..Tuachie jukwaa letu Shwain wewe
Embu naomba nipe maana ya neno [HASHTAG]#shwain[/HASHTAG]
Nimeyapenda makavu yako mkuuNendaa ukajifunze kupika Kababu Na Kachori jukwaa la mapishi..Tuachie jukwaa letu Shwain wewe
Lkn ulikula kwnz??Kuna binti mmoja, ni mzuri. Umbo, rangi ya kati, ni msikivu, mvumilivu, mwongeaji sana na ana ajira, ila ni muislam. Nilimshawishi mpaka akakubali kubadili dini anifuate. Ila kabla hatujaendelea nikakutana na binti ambaye ilinilazimu nibadilishe maamuzi.
Mpaka sasa huyo muislam yupo free 23yrs, kama vipi naweza kukuconect.
Hilo tuliweke kando kwa sasaLkn ulikula kwnz??
Aiseeee mbn umemtolea pov ivoHuna lolote hiyo degree yako peleka kijijini kwenu.kwanza unaonekana una njaa so unatafuta unafuu kwa ndoa
Nyie mnajuanaHuna lolote hiyo degree yako peleka kijijini kwenu.kwanza unaonekana una njaa so unatafuta unafuu kwa ndoa
Ashasema ni mfanyakazi wa mali asili. Kule ni nyoka tu na mijusi na vyura. Sasa mkuu jamaa awowe tumbili mkuu? ???????????