Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,822
- 93,602
Akuowe wewe mwenyeweWewe ni nani wa kupangia wenzako wapi na wapi pakutafuta atakacho
Akuowe wewe mwenyeweWewe ni nani wa kupangia wenzako wapi na wapi pakutafuta atakacho
Shida kijijini hakuna wanawake/Wadada wa kumenya yeye anataka wa kumenyaPorini huwa kuna ofisi mkuu, hayo maeneo nayafahamu sana. Aache ujinga atafute mke wa maana badala ya hawa wanaoshinda kwenye FB.
kuna jukwaa LA love connect hapa si mahala pakeMimi ni kijana mwenye mikaa 27, ni Afisa wa Serikali (Maliasili). Elimu yangu ni shahada (BSc Forestry). Binti Huyo awe na sifa zifuatazo : awe na Miaka isiyozidi 25 na isipungue 22, Elimu yake awe na Kuanzia Asta shahada (Certificate) na isizidi Shahada (Degree). Awe na kipato chake au mjasiliamali, Asiwe Muislam, msabato au mlokole. Niko serious kupata Mwenza wangu ili tupambane na Maisha. Ahsanteni.
Nadhani utatuliaTeh! Sawa mke mwenzangu
Hapo sawaShida kijijini hakuna wanawake/Wadada wa kumenya yeye anataka wa kumenya
nipo tyr 0744535746Mimi ni kijana mwenye mikaa 27, ni Afisa wa Serikali (Maliasili). Elimu yangu ni shahada (BSc Forestry). Binti huyo awe na sifa zifuatazo; awe na miaka isiyozidi 25 na isipungue 22, Elimu yake awe na kuanzia Asta shahada (Certificate) na isizidi Shahada (Degree). Awe na kipato chake au mjasiriamali, asiwe Muislam, Msabato au Mlokole.
Niko serious kupata Mwenza wangu ili tupambane na Maisha.
Ahsanteni.
Pita kimya.Ma jukwaa mengine hujayaona.Kuitwa Kucha unashinda humu Ili ukosoe.Utaumia sana ndo ivyo.JF wameshaweka jukwaa hilo.Acha Watu wajimwayemwaye..Hutaki. Chimba dawa unywe!Huko unakofanyia kazi hakuna wanawake? hauko serious na maisha kabisa, tafuta mke huko ofisini unakofanyika.
Rubii achana naye Huyo mjingaaaaaa!Wewe ni nani wa kupangia wenzako wapi na wapi pakutafuta atakacho
Nendaa ukajifunze kupika Kababu Na Kachori jukwaa la mapishi..Tuachie jukwaa letu Shwain weweAkuowe wewe mwenyewe
Acha ujingaaa..Yupo mahali sahihi.Na atapata.Sio lazima ukashifu kila kituAndika bango kubwa, lishikilie usimame nalo Posta Mpya mida ya saa kumi hadi saa moja utapata application za kutosha.
Sijui kama unajielewa bestNendaa ukajifunze kupika Kababu Na Kachori jukwaa la mapishi..Tuachie jukwaa letu Shwain wewe
Una stress siyo burePita kimya.Ma jukwaa mengine hujayaona.Kuitwa Kucha unashinda humu Ili ukosoe.Utaumia sana ndo ivyo.JF wameshaweka jukwaa hilo.Acha Watu wajimwayemwaye..Hutaki. Chimba dawa unywe!