Natafuta baba mlezi

Natafuta baba mlezi

Nasema; Kweli weye ni jasiri mno. La kufanya, tulia mpaka wakati wa kujifungua, awe mtoto aonekane. Jinsia si hoja, unikubalie anyonye mwezi mmoja tu, amtunzo ya maziwa ntakupa, unipe mtoi nisepe bora tu uniandikie kutofuatana. Mtoto mali jamani, wapo wanaolilia angalao mimba ishike mwezi tu itoke ahesabiwe aliwahi kukisikia kiumbe tumboni. Ni PM nikupe namba yangu na sitaki kukujua hata sura yako nitataka tu uhakika wa ujauzito na siku umejifungua. Mipango mingine ni PM tuelekezane
 
Lea mimba bint,ukishajifungua ukamtia mkononi mwanao faraja utakayopata hutakumbuka hata kama uliwaza kumgawa.
Utamlea tu Mungu atakuwezesha,Mola hakupi Jaribu usiloliweza.
 
utakuwa umewaza sana na unaona kama dunia imekutenga
 
We mleta mada acha pupa! Ngoja uuone uchungu wa leba kwanza afu utakuja kufanya maamuzi sahihi! Umenikumbusha kitabu cha shairi primary kinaitwa Fikiri kabla ya kutenda!
 
ninaujauzito miez 8 mhusika kaukataa kwa madai kuwa anamchumba wake anampenda sana na hata muelewa akimwambia kama anamtoto kwani anajua hana. tena kaniambia nisimtafute kabisa na namba kabadilisha najua nimetenda dhambi na nawaza sana mtoto wangu inamaana hatakuwa na baba? binafsi sina uwezo wa kumtunza.
najua kuna watu hum wanatafuta watoto hawana kuliko kutoa mimba bora kwa atakae kuwa tayari kumtunza amchukue.
wapo watakao nishangaa kwa hili lakin kuliko kutoa mimba bora nimpe baba yoyote mwenye shida na mtoto asanten jaman

Hizi issue msituchezee akili kabisa. Wakati tunawakuta mitaani mnaringa kweli na kujifanya wa mjini.
 
hahahaha ulishagegedwa na kuingizwa mujini hahahaha
 
Subiri ujifungue kwanza alafu njoo na uzi mwingine...wenye mimba wengi akili zinakuwa nusu...
Unadhani kugawa mtoto ni rahisi...tuulize sie raha ya kuwa na wana...hapa niko tayari niuze maandazi lakini mwanangu simgawi hata kama anayemtaka ni Obama...

hahahahaha huu utafiti kiboko et wenye mimba wanakuwa na akili nusu lol ila kuna kaukweli
 
Last edited by a moderator:
Wanaume 2badilike km m2 auna malengo nae mwambie kuliko kumualibia maisha yake
hebu 2fikili km lililompata huyu lingempata dada ako ungejiskiaje?

hamna lolote kwanza ni adabu yao maana ukiwaambia ukweli leta papuchi tuenjoy analeta nyodo sasa dawa ni kuwadanganya na kuwatia mimba....jamaa kafanya fresh sana
 
U cant be serious!!!! Umpe wotewote? Ina maana hautamuhitaji Tena? Kwani wewe ni mlemavu Wa viungo vyote huwezi kufanya kazi yoyote?

amenifanya nimkumbuke gfsonwin kuna uzi alitoa mchanganuo jinsi ya kuuza karanga kwa mtaji wa sh.5000 na mtu akaweza kuweka akiba nzuri tu nimesahau jina la uzi mama pita ungejifunza kitu
 
Last edited by a moderator:
Kacheck utra sound, akiwa wa kike unipe ukijifungua.
 
ninaujauzito miez 8 mhusika kaukataa kwa madai kuwa anamchumba wake anampenda sana na hata muelewa akimwambia kama anamtoto kwani anajua hana. tena kaniambia nisimtafute kabisa na namba kabadilisha najua nimetenda dhambi na nawaza sana mtoto wangu inamaana hatakuwa na baba? binafsi sina uwezo wa kumtunza.
najua kuna watu hum wanatafuta watoto hawana kuliko kutoa mimba bora kwa atakae kuwa tayari kumtunza amchukue.
wapo watakao nishangaa kwa hili lakin kuliko kutoa mimba bora nimpe baba yoyote mwenye shida na mtoto asanten jaman

Hebu uniPM kama uko siriaz maana mi natafuta muda mrefu
 
Back
Top Bottom