Mikela,
Mambo mengine ni ya kuyakwepa wala usithubutu kwenda huko. Hizi dini nyingi zina influence ya demonic forces/power kwa hiyo unaweza kuvutika bila kupenda.
Kuwa shahidi wa Yehova hakuna tofauti na kuwa Mormon, Scientologist au SDA- wote wana tatizo na inner core ya Christianity ambayo ni nguvu za YESU...............
Nilikuwa JW nilifikia hatua (cheo/Daraja) la mzee wa mzunguko namshukuru sana Mungu aliyenitoa huko- nilipotea kwa kweli- ACHANA NA JEHOVA WITNESS NI FAKE KAMA ELECTRONICS EQUIPMENT PALE GAME MLIMANI CITY.............