Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Nasubiri mshahara wa Octoba 2017

Nipeni taarifa nimebakiwa ka 30 elfu kamwisho.Kuna mtumishi wa umma yeyote aliyepata tayari??
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Hongera mkuu umejitahidi sana kujibana mie ziliisha tokea tarehe 15,naishi kiujanja ujanja tu mjini hapa..
 
Yule jamaa anaeidhinisha mishahara pale hazina yupo safarini kikaz kwaio vumilieni hadi atakaporud toka Tabora next week
 
Back
Top Bottom